Chalamila na Janabi acheni kutafuta Kick kwenye Maisha ya watu

Chalamila na Janabi acheni kutafuta Kick kwenye Maisha ya watu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hapa Kariakoo jengo limeanguka. Hakuna vitendea kazi Chalamila na Janabi wamefika kupiga stories.

Muda mrefu linahitajika greda kuja saidia kuinua nguzo nzito. Vifaa vya kuekolea hamna. Anakuja Mkuu wa Mkoa na Dr. Janabi eti kuokoa? Wanaokoa nini kama si kutafuta kick na attention kwa watu?

Huyu Janabi angefanya jambo la maana kuhakikisha kule Muhimbili kila majeruhi anayefikishwa anashughulikiwa kwa haraka naye kushiriki. Angehakikisha ambulance zinatoka na kwenda kusubiria wagonjwa.

Anakuja hapa anazunguka zunguka wakipiga stories na Chalamila.

Screenshot_2024-11-16-12-06-02-393_com.twitter.android~2.jpg
 
Janab nadhani kutokula vizuri kumeathiri hata akili yake. Hapa Kariakoo jengo limeanguka. Hakuna vitendea kazi Chalamila na Janabi wamefika kupiga stories.

Muda mrefu linahitajika greda kuja saidia kuinua nguzo nzito. Vifaa vya kuekolea hamna. Anakuja Mkuu wa Mkoa na Dr. Janabi eti kuokoa? Wanaokoa nini kama si kutafuta kick na attention kwa watu?

Huyu Janabi angefanya jambo la maana kuhakikisha kule Muhimbili kila majeruhi anayefikishwa anashughulikiwa kwa haraka naye kushiriki. Angehakikisha ambulance zinatoka na kwenda kusubiria wagonjwa.

Anakuja hapa anazunguka zunguka wakipiga stories na Chalamila. Huu ni wendawazimu kabisa.
View attachment 3153628
Mm huyo mkuu wa mkoa sijawahi kumuelewa naonaga anaropoka tu nika ameupata ukuu wa mkoa kwa kuroga vile.
 
Janab nadhani kutokula vizuri kumeathiri hata akili yake. Hapa Kariakoo jengo limeanguka. Hakuna vitendea kazi Chalamila na Janabi wamefika kupiga stories.

Muda mrefu linahitajika greda kuja saidia kuinua nguzo nzito. Vifaa vya kuekolea hamna. Anakuja Mkuu wa Mkoa na Dr. Janabi eti kuokoa? Wanaokoa nini kama si kutafuta kick na attention kwa watu?

Huyu Janabi angefanya jambo la maana kuhakikisha kule Muhimbili kila majeruhi anayefikishwa anashughulikiwa kwa haraka naye kushiriki. Angehakikisha ambulance zinatoka na kwenda kusubiria wagonjwa.

Anakuja hapa anazunguka zunguka wakipiga stories na Chalamila. Huu ni wendawazimu kabisa.
View attachment 3153628
Umewashambulia bila sababu, Janabi ni mtaalam wa afya hivyo uwepo wake una umuhimu, Chalamila ni RC ni vizuri pia akiwepo kuonesha uwajibikaji
 
Umewashambulia bila sababu, Janabi ni mtaalam wa afya hivyo uwepo wake una umuhimu, Chalamila ni RC ni vizuri pia akiwepo kuonesha uwajibikaji
Rescue expert hatuna, janabi na Chalamila, lazima wawepo, katika kuhamasisha na kuharakisha juhudi za uokozi, pale chini Pana joto bana, hata feni ikiwapo huwa balaa tupu, hata hivyo wengi wameshaokolewa!
###Ilihitaji sana crane kubwa kuanza kuondosha mapande makubwa ya zege
 
Mwenye Jengo naye kafa? Mkome mmezoea kila kitu porojo tu, utakuta hapo watalaam walitoa angalizo, rushwa ikapita mwanaharamu akafunika kombe maisha yakasonga, Sasa haya ndio madhara ya joint expansion.

Inaonekana watu hawana Hela ila wanalazimisha kujenga magengo marefu Kwa kutumia budget kiduchu na engineers Michael aka uchwara.
 
Mleta uzi kuna vitu vingine vichukulie positive tu. Unataka janabi awepo kana kwamba hapo hapawezi kuwa na majeruhi anayehitaji msaada wa haraka. Chalamila ni Mkuu wa Mkoa lazima awepo hapo.
 
ni muslim, he doesnt care about small people, kuna sababu kwa nini muslims wanakimbilia western Christian counrties na siyo islamic countries, huyo dokta uchwara alipaswa kuwa ground zero koti likiwa jekundu tayari kwa damu ya majeraha huku akiokoa watu lkn kakimbilia media, it tells you a lot about the man, pure evil …
 
Mleta uzi kuna vitu vingine vichukulie positive tu. Unataka janabi awepo kana kwamba hapo hapawezi kuwa na majeruhi anayehitaji msaada wa haraka. Chalamila ni Mkuu wa Mkoa lazima awepo hapo.
Ulazima wa chalamila kuwepo haupo, ulazima unaotakiwa kuwepo ni vifaa vya uokoaji ambavyo havipo ni aibu mkuu wa mkoa kwenda kwenye eneo la tukio kutumbua macho bila vifaa vya uokoaji
 
Back
Top Bottom