Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hapa Kariakoo jengo limeanguka. Hakuna vitendea kazi Chalamila na Janabi wamefika kupiga stories.
Muda mrefu linahitajika greda kuja saidia kuinua nguzo nzito. Vifaa vya kuekolea hamna. Anakuja Mkuu wa Mkoa na Dr. Janabi eti kuokoa? Wanaokoa nini kama si kutafuta kick na attention kwa watu?
Huyu Janabi angefanya jambo la maana kuhakikisha kule Muhimbili kila majeruhi anayefikishwa anashughulikiwa kwa haraka naye kushiriki. Angehakikisha ambulance zinatoka na kwenda kusubiria wagonjwa.
Anakuja hapa anazunguka zunguka wakipiga stories na Chalamila.
Muda mrefu linahitajika greda kuja saidia kuinua nguzo nzito. Vifaa vya kuekolea hamna. Anakuja Mkuu wa Mkoa na Dr. Janabi eti kuokoa? Wanaokoa nini kama si kutafuta kick na attention kwa watu?
Huyu Janabi angefanya jambo la maana kuhakikisha kule Muhimbili kila majeruhi anayefikishwa anashughulikiwa kwa haraka naye kushiriki. Angehakikisha ambulance zinatoka na kwenda kusubiria wagonjwa.
Anakuja hapa anazunguka zunguka wakipiga stories na Chalamila.