Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hapo hahitajiki Profesa mtaalam wa afya. Wanaohitajika ni wataalam wa uokoaji na watu wa huduma ya kwanza. Profesa anapaswa kukaa hospitali ili kujiandaa kupokea majeruhi kwa kuhakikisha theater ziko tayari, damu ipo ya kutosha. Aidha kuhakikisha madaktari, manesi na mafundi mchundo wako standby kuhudumia wagonjwa.Umewashambulia bila sababu, Janabi ni mtaalam wa afya hivyo uwepo wake una umuhimu, Chalamila ni RC ni vizuri pia akiwepo kuonesha uwajibikaji
Hapo yeye na Chalamila wanaingilia juhudi za kuokoa maisha ya watu kwa kuwa wao ndio centre of attention kuliko majeruhi.
Amandla...