Chalamila: Nasisitiza nikifa nizikwe kama waislamu siyo kiislamu. Tunafanya misiba ya kifahari baada ya miezi 2 watoto wanafukuzwa ada

Chalamila: Nasisitiza nikifa nizikwe kama waislamu siyo kiislamu. Tunafanya misiba ya kifahari baada ya miezi 2 watoto wanafukuzwa ada

Muongo Mzee,chalamila humjui Mzee , kwamba kuzikwa kwenye jeneza kunazuia vipi watoto kufukuzwa shule?

Chalamila anacheza game ya kujipendekeza kwa Samia
Hapo hajazungumzia sanduku tu kiongozi.
Hoja ipo kwenye zile gharama zinazoambatana na shuhuli ya msiba
 
Wakuu,


"Nikifa nizikwe kama Waislamu siyo nizikwe Kiislam, miaka ya leo tumekuwa na misiba yenye mbwembwe nyingi sana bajeti ya mamilioni zinakwenda kuupa ufahari msiba lakini baada ya wiki mbili au miezi mitatu kama ni baba na mama waliowaacha watoto msiba unakuwa ni mzuri na wakifahari halafu baada ya miezi miwili mitatu watoto walioachwa wakiwa yatima wanaanza kufukuzwa ada.

Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es asalaam kwenye hafla ya kutoa misaada kituo cha watoto yatima UMRA Kinondoni.
Si misiba tu hata ndoa zimekua mitaji na baada ya miezi 3 wanaachana wanagawana Mali kl mmoja anakua na kianzio cha maisha
 
Wakuu,


"Nikifa nizikwe kama Waislamu siyo nizikwe Kiislam, miaka ya leo tumekuwa na misiba yenye mbwembwe nyingi sana bajeti ya mamilioni zinakwenda kuupa ufahari msiba lakini baada ya wiki mbili au miezi mitatu kama ni baba na mama waliowaacha watoto msiba unakuwa ni mzuri na wakifahari halafu baada ya miezi miwili mitatu watoto walioachwa wakiwa yatima wanaanza kufukuzwa ada.

Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es asalaam kwenye hafla ya kutoa misaada kituo cha watoto yatima UMRA Kinondoni.
Si misiba tu hata ndoa zimekua mitaji na baada ya miezi 3 wanaachana wanagawana Mali kl mmoja anakua na kianzio cha maisha
 
Kwani Ukristu unazuia mtu kuzikwa saa hiyo hiyo aliyokufa, au ni maamuzi tu ya wanafamilia?
Yeye hana haja ya kuwaambia watu wengine hadharani, awaambie tu wanafamilia wake au aandike wosia, naamini watauheshimu. Hata serikali huwa inasikia kwanza ratiba ya familia. Awaambie tu wanafamilia kuwa hata akifa kifo chenye utata asicheleweshwe, azikwe saa hiyo hiyo, naamini watamtii, hawatasubiri uchunguzi wa polisi
Sasa povu la nini mkuu? Yeye kazungumzia taratibu za mazishi tu hajatuhumu ukristo. Yeye kataka mazishi simple tu katolea mfano mazishi ya waislamu hivyo akifa azikwe kikristo(sio kiislamu) kwa mazishi simple.
 
Huyu anafanya uchawa kwa Samia hana lolote ,

Uzikwe na sanda,uzikwe kwenye sanduku, uzikwe uchi kama hukujiandaa na Mungu wako haisaidii kitu

Huyu anasema hivo ili Samia asimtumbue
Mimi namuunga mkono. Msiba wa millions or harusi ya millions, mkimaliza mnaanza kukopa, hizo sio sherehe au Imani, ni matumizi mabaya ya ubongo.
 
Sasa povu la nini mkuu? Yeye kazungumzia taratibu za mazishi tu hajatuhumu ukristo. Yeye kataka mazishi simple tu katolea mfano mazishi ya waislamu hivyo akifa azikwe kikristo(sio kiislamu) kwa mazishi simple.
Afe yeye halafu nitokwe povu mimi? Mimi nimehoji kuwa anauambia umma kwa sababu zipi wakati ni suala la wosia tu kwa familia yake? Yeye aangalie majukumu yanayohusu wananchi, suala la mazishi ni binafsi, huwezi kumpangia mtu ambaye havunji sheria za nchi
 
Wagalatia wamepanic.
Hoja yake mbona haikukaa kigalatia ila kiuchumi zaidi. Hata muislam wako wanaogharamia mazishi au harusi kibabe na magharama kibao. Chalamila mchumi mzuri kwa hilo
 
Mimi namuunga mkono. Msiba wa millions or harusi ya millions, mkimaliza mnaanza kukopa, hizo sio sherehe au Imani, ni matumizi mabaya ya ubongo.
Inatakiwa iwe hivo ,lakini kwa huyu Chalamila anafanya uchawa
 
Afe yeye halafu nitokwe povu mimi? Mimi nimehoji kuwa anauambia umma kwa sababu zipi wakati ni suala la wosia tu kwa familia yake? Yeye aangalie majukumu yanayohusu wananchi, suala la mazishi ni binafsi, huwezi kumpangia mtu ambaye havunji sheria za nchi
Kampangia nani sasa wakati anazungumzia mazishi yake?
 
Wakuu,


"Nikifa nizikwe kama Waislamu siyo nizikwe Kiislam, miaka ya leo tumekuwa na misiba yenye mbwembwe nyingi sana bajeti ya mamilioni zinakwenda kuupa ufahari msiba lakini baada ya wiki mbili au miezi mitatu kama ni baba na mama waliowaacha watoto msiba unakuwa ni mzuri na wakifahari halafu baada ya miezi miwili mitatu watoto walioachwa wakiwa yatima wanaanza kufukuzwa ada.

Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es asalaam kwenye hafla ya kutoa misaada kituo cha watoto yatima UMRA Kinondoni.
Hata ndoa pia ziwe kama za kiisilam tu..sio ndoa bwebwe nyubgi harusi ikiisha tu maharusi wanapata presha za madeni.
 
Huyu kuna kitu ameshtuka.
Kauli yake ya kwanza alisema anataka akifa azikwe kiisilamu. Kama kawaida Roman Catholic wakainote down hiyo kauli maana huwa hawapendi kujihusisha kwenye mazishi ya mtu ambaye imani yake katika Kanisa imeondoka waziwazi (kwa kutamka, kuishi wawili bila ndoa, kujiua, kufia maeneo yanayoashiria uwepo wa matendo mabaya).

Sasa hivi amekuja na kauli mpya kwamba azikwe kama waisilamu na sio kiisilamu.

Ngoja msubiri picha siku atakapokufa kweli, bila kitubio Roman Catholic huwa hawaangalii sura ya mtu. Aulizwe Ngombale Mwiru, Ruge Mutahaba na Bilionea wa Arusha
Kwani jamaa ni mroman, kikubwa roman wanaangalia ushiriki kwenye jumuiya
 
Back
Top Bottom