Chalamila: Nilikuwa likizo kama Injini ya gari lililoharibika

Chalamila: Nilikuwa likizo kama Injini ya gari lililoharibika

Chalamila mtoto wa fukara??? tuulize wanyalu tutakwambia...kwa taarifa yako Chalamila ni royal family...ukoo wa Chalamila una link ya damu na ukoo wa Mkwawa wana ukwasi tangu 1800s mwishoni...wanazijua bunduki, mavazi na pesa miaka mingi sana, huyo Chalamila unaemuona haujui umaskini...
kama ni hivyo kuna line ya kichifu yenye nguvu kubwa sana bahati mbaya mengine hayaelezeki hapa ila ndani mwake hawezi kunyenyekea kwakuwa ni mfalme tena falme yenye nguvu
 
Huyu mnyalukolo, volioja vya manebo ni asili yake. Hata wakati wa Magufuli, aliwahi kumshukuru na kumsifu Magufuli kwa kumletea mkurugenzi mrembo. Magufuli akang'aka kuwa aache tamaa.

Lakini Chalamila ni maneno tu, hata wakati ule, hatukuwahi kusikia, iwe kwa uwazi au kwa zile taarifa za chini chini kuwa aliwahi kuhusishwa na mambo yale machafu ya kuteka watu kama vijana wenzake waliokuwa kwenye nafasi yake, walikuwa wakifanya.

Mnyalu hana neno na mtu, na hata alipotenguliwa, hakuonekana kuchanganyikiwa, aliendelea kuonesha tabasamu la maisha ya furaha.

Mnyalu, usitikisike, fanya kazi kadiri uwezo unavyoruhusu, lakini usipoteze utu kwa kujipendekeza, wala usidhulumu uhai wa mtu kwaajili ya kulinda cheo. Makosa mengine yote yana msamahala, lakini mauaji na dhuluma hutengeneza laana. Mwangalie mwenzako alitekuwa mwamba wa Dar, na hakika lazima, ataandamwa na laana yeye na kizazi chake.
 
Unamtumbua mtu kisa hana sifa then anakaa bench then unamteua tena kwa nafasi hio hio. Kipi ni kipi sasa ulimuonea, hakuwa na sifa kapata sifa baada ya kukaa bench?
 
Unamtumbua mtu kisa hana sifa then anakaa bench then unamteua tena kwa nafasi hio hio. Kipi ni kipi sasa ulimuonea, hakuwa na sifa kapata sifa baada ya kukaa bench?
Nani kakwambia alimtumbua kwa sababu hana sifa?
 
Back
Top Bottom