ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mtu wa mizaha sana huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtatupotezea muda wananzengoMimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Inashangaza kweli kweli.Ajisafishe ili iweje Mkuu??
Chalamila hawezi kuomba radhi...mark my wordsMimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Hatukumwambia Ivo sisiInfact pale alikuwa anamzungumzia rais in a very positive way.
Alichagua maneno yenye Ukakasi kidogo lakini The overall message ilikuwani kuwataka watu wamuelewe, wampe ushirikiano mheshimiwa rais katika kuleta maendeleo katika mkoa wao.
Huyu atakuwa anatatizo la akili sio bureile ya hospitali kwamba wanamwanza wasimchukie samia hajamuuua magufuli is the worst of all time.
Naamini jamaa yupo kwenye kundi linaloamini hiyo conspiracy theory,mwingine huyu hapa tena naskia alikuwa kiongozi wa wanafunzi chuo kikuu
View attachment 1815413
Me nilijua unayo hiyo video nzima ambayo ni tofauti na ile inayohamasisha mabango ya matusiMimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Kwani kutokuwa RC kutamfanya afe njaa!!? yeye ni miongoni mwa wanasiasa wanaohamasisha watu na hasa vijana kujiajiri, na yeye atafute njia mbadala ya kuishi awaachie wengine nafasiSasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
ile ya hospitali kwamba wanamwanza wasimchukie samia hajamuuua magufuli is the worst of all time.
Naamini jamaa yupo kwenye kundi linaloamini hiyo conspiracy theory,mwingine huyu hapa tena naskia alikuwa kiongozi wa wanafunzi chuo kikuu
View attachment 1815413
Sasa c ulete ambayo haijakatwa ili hoja yako ya kumtetea huyo mlevi iwe na mashiko?Ofcourse ile clip wameedit ili kuondoa context nzima ambayo Chalamila alimaanisha, Actually it seems the guy alikuwa akimaanisha kuwa ili kutekeleza agizo la raisi la kuacha watu wawe huru kubeba mabango, yuko ready kutolerate mabango hayo hata kama yanawatukana wao akina Chalamila wenyewe mbele ya rais.
Wahuni wakakata clip ile wakaiunganisha na sentensi ya nyuma ikaonekana kuwa anaruhusu watu wabebe mabango ya kumtukana rais kitu ambacho siyo kweli
Umerudia tena ku-post wewe clown? Mama Samia siyo Magufuli na hawezi kudanganywa kijinga hivyo. Wewe bila shaka ndiye Chalamila. Au amekulipa fedha kwa sababu tangu asubuhi unajaribu kumtetea usijue ndivyo unavyozidi kumdidimiza.Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Icheki YouTube akipokea vifaa vya hospital aliongea ujinga sana.
Watu wengi wanaongelea ishu ya mabango sijui Ila hii hawaiongelei
Tone ya jamaa mbona ilikuwa ni kumfagilia rais ili akubalike zaidi?Kabisa, kauli hii ndio ilikuwa mbaya sana. Maana wala hakuwa anawaweka wananchi sawa, bali alikuwa anaibua hisia hasi dhidi ya huyo mama kutokana na kifo cha Magufuli.
Maji ndio yamemwagika hayo hayazoleki ; tena kwenye mchanga!!!Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.
Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.
Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.
Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.
Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".
Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.
Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!
Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Ile haikuwa sifa, bali ni kuokota maneno ya mtaani na kwenda kuyaweka kwenye mambo ya kiofisi. Vinginevyo awataje waliosema kuwa Mama Samia anasadikiwa kumuua Magufuli.Tone ya jamaa mbona ilikuwa ni kumfagilia rais ili akubalike zaidi?
Tone ya jamaa mbona ilikuwa ni kumfagilia rais ili akubalike zaidi?