Chalamila omba wasaa ukutane na Mheshimiwa Rais uombe umueleze upande wako wa stori

Chalamila omba wasaa ukutane na Mheshimiwa Rais uombe umueleze upande wako wa stori

Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Mtatupotezea muda wananzengo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hata kama ana sense of humour lakini kazi ni kazi na utani tuuache kwa marafiki na vijiweni

Utani? Sidhani kama huo ni utani bali ni ya moyoni anayoyajua yeye wala haihitaji rocket science kumtambua mtu
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Chalamila hawezi kuomba radhi...mark my words
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Me nilijua unayo hiyo video nzima ambayo ni tofauti na ile inayohamasisha mabango ya matusi

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.
Kwani kutokuwa RC kutamfanya afe njaa!!? yeye ni miongoni mwa wanasiasa wanaohamasisha watu na hasa vijana kujiajiri, na yeye atafute njia mbadala ya kuishi awaachie wengine nafasi
 
Ofcourse ile clip wameedit ili kuondoa context nzima ambayo Chalamila alimaanisha, Actually it seems the guy alikuwa akimaanisha kuwa ili kutekeleza agizo la raisi la kuacha watu wawe huru kubeba mabango, yuko ready kutolerate mabango hayo hata kama yanawatukana wao akina Chalamila wenyewe mbele ya rais.

Wahuni wakakata clip ile wakaiunganisha na sentensi ya nyuma ikaonekana kuwa anaruhusu watu wabebe mabango ya kumtukana rais kitu ambacho siyo kweli
Sasa c ulete ambayo haijakatwa ili hoja yako ya kumtetea huyo mlevi iwe na mashiko?

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Umerudia tena ku-post wewe clown? Mama Samia siyo Magufuli na hawezi kudanganywa kijinga hivyo. Wewe bila shaka ndiye Chalamila. Au amekulipa fedha kwa sababu tangu asubuhi unajaribu kumtetea usijue ndivyo unavyozidi kumdidimiza.
 
Icheki YouTube akipokea vifaa vya hospital aliongea ujinga sana.

Watu wengi wanaongelea ishu ya mabango sijui Ila hii hawaiongelei

Kabisa, kauli hii ndio ilikuwa mbaya sana. Maana wala hakuwa anawaweka wananchi sawa, bali alikuwa anaibua hisia hasi dhidi ya huyo mama kutokana na kifo cha Magufuli.
 
Kabisa, kauli hii ndio ilikuwa mbaya sana. Maana wala hakuwa anawaweka wananchi sawa, bali alikuwa anaibua hisia hasi dhidi ya huyo mama kutokana na kifo cha Magufuli.
Tone ya jamaa mbona ilikuwa ni kumfagilia rais ili akubalike zaidi?
 
Mimi naamini kabisa ndani ya moyo wako wewe ni mtu mzuri. Una sense of humor ambayo bahati mbaya wengine hawaielewi.

Naamini kilichokukuta safari hii ni watu wamekupiga fitna hasa wale Waliochukua clip ya sauti yako na kuikatakata kisha kuunganisha vipande.

Naamini kabisa kwenye ile clip hukumaanisha kuwa watu wabebe mabango ya kumtukana rais, bali ulitaka kuonyesha kuwa hutozuia bango la mtu yeyote hata kama anawatukana nyie watendaji wa mkoa.

Nikikulinganisha na mtu kama Sabaya au Makonda wewe ni Saint kabisa huna roho ya kikatili na kishenzi.

Sasa kutokana na hilo, Omba miadi na mheshimiwa rais, Chukua video nzima za press conference yako na waandishi wa habari, mueleze mheshimiwa rais kuwa waandishi wameikata hiyo taarifa na "kukutake out of context" kwa sababu za kiuchonganishi.

Pia muombe radhi mheshimiwa rais kwa kumkwaza, maana teua tengua nayo ni kazi, lakini pia inaweza kumpa picha mbaya mbeke ya umma kuwa hayuko makini kwenye teua zake.

Ndugu Chalamila, wewe ni kiongozi mzuri sana, ila sasa utani ulikuwa mwingi lakini naamini kabisa kwenye hii ishu umekuwa "framed".

Tafuta namna ya kukutana na mheshimiwa rais umuelezee kirefu issue yako.

Lengo siyo uteuliwe, bali lengo liwe ni kuweka rekodi sawa!

Usiitishe press conference hivi karibuni kujisafisha, wewe tulia ila jisafishe kwanza mbele ya mamlaka
Maji ndio yamemwagika hayo hayazoleki ; tena kwenye mchanga!!!
 
Tone ya jamaa mbona ilikuwa ni kumfagilia rais ili akubalike zaidi?

Mama sio kama JIWE, hataki watu wanaojipendekeza anataka kuona kazi inaendelea na matokeo yanaonekana!!! Huu sio wakati wa chawa! Let this be a lesson to others.

Hawa ndio kundi wanaomjalibu Rais mpaka kuingia Bungeni kujibu maswali huku wamelewa wakitaka waone atawafanya nini?
 
Back
Top Bottom