Chalamila shikamoo brother

Chalamila shikamoo brother

1. Kwenye line ya simu halooo

2. Haloo unaongea na mpaji mungu kutoka Red stone....Moshi

1. Tuma salamu kwa watu watatu

2. Salamu zangu za kwanza namtumia Mayalla kutoka River side, za pili namtumia shengena kutoka Concord kariakoo na za mwisho namtumia Kagame kutoka sinza mugabe
Mpaji mpajiiiiii bado upo kwenye laini ya simu brother????
Halooo
Haloooo
Halooooo
 
Mpaji waambie viijana wa ajira portal hapo nungwi Zanzibar tutafutane ovaaaaa!!!
@ Mpaji Mungu 🤣🤣🤣🤣
Mlipo tupo 🤣🤣🤣
 
1. Kwenye line ya simu halooo

2. Haloo unaongea na mpaji mungu kutoka Red stone....Moshi

1. Tuma salamu kwa watu watatu

2. Salamu zangu za kwanza namtumia Mayalla kutoka River side, za pili namtumia shengena kutoka Concord kariakoo na za mwisho namtumia Kagame kutoka sinza mugabe
Red Stone, acha kabisaaa

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom