Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #21
Salamu zimefika kwa brother mkuuTANDIKA SUDANI KUPO VIZURI
Ovaaa.
Na mbagala sabasaba kupo vizuri mkuu
Ovaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu zimefika kwa brother mkuuTANDIKA SUDANI KUPO VIZURI
Ulipo tupo 0694 620009Nimekupata mkuuu
Ovaaaaa.
Tunamsalimia pia kutokea mbagala kizuiani pale Maua lodge nyuma ya kituo cha polisi
Ovaaah
Mpaji mpajiiiiii bado upo kwenye laini ya simu brother????1. Kwenye line ya simu halooo
2. Haloo unaongea na mpaji mungu kutoka Red stone....Moshi
1. Tuma salamu kwa watu watatu
2. Salamu zangu za kwanza namtumia Mayalla kutoka River side, za pili namtumia shengena kutoka Concord kariakoo na za mwisho namtumia Kagame kutoka sinza mugabe
Sitaki kesi mkuu🤣🤣🤣🤣 brother asije kunisemea kwa maza nikanyimwa ugali....(teuzi)!!!!!Ilipo tupo 0694 620009
Nakupata vema nakupataMpaji mpajiiiiii bado upo kwenye laini ya simu brother????
Halooo
Haloooo
Halooooo
Mpaji mpaji,,,,,,network inasumbua ila nakupata ndugu yangu.Siku hizi brother kaagiza mpaka viwavi na nzige watukamate hata tukienda kuchungulia fursa za ajira portal kwenye bar za sinza 🤣🤣🤣🤣🤣Nakupata vema nakupata
Nimekupata mugamboGigi 0694064821
Wazee wa ajira portal nawaonea huruma mkuu..Sasa ni aidha uwe na demu, uoe ama ujichukulie sheria mkononi..
😂🤣
Nimekusoma mkuu asante kwa ushirikiano 🤣🤣🤣Ulipo tupo 0694 620009
Brother anatunyanyasa wazee wa ajira portal...Kuna nini tena kaka?
Ni mwendo wa kuupanda mnazi kwa mkono mmoja tu.Wazee wa ajira portal nawaonea huruma mkuu..
😂🤣🤣🤣
Wazee wa ajira portal tunaonewa mkuuNi mwendo wa kuupanda mnazi kwa mkono mmoja tu.
😂🤣🤣
Utu uzima dawaNimekupata mugambo
Ovaaaaaaa
Ila kama una kale kaclip cha CHUMA tuambiane mtani..
Nimekupata ovaaa
Red Stone, acha kabisaaa1. Kwenye line ya simu halooo
2. Haloo unaongea na mpaji mungu kutoka Red stone....Moshi
1. Tuma salamu kwa watu watatu
2. Salamu zangu za kwanza namtumia Mayalla kutoka River side, za pili namtumia shengena kutoka Concord kariakoo na za mwisho namtumia Kagame kutoka sinza mugabe
Tupo huku ajira portal tu...Si uje tuoane kuliko kula kula ukaishia kupata aibu