Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waachie wataalam acha kujifanya kila kitu.Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Unapomkamata boss lazima uendeleze utaratibu wa kukamata visaidizi vyote vyote roots, zote aider wote bila kuharibu upelelezi / kwa ukubwa huu wa mzigo, vigogo wa serekalini hawakosekani, tuache uropo uropo na upopoma wa kihayawani.Muongo tu huyo. Eti hatuwataji nani kakuuliza uwataje, stupid RC
Akikamatwa mpika gongo anaoneshwa kabisa runingani pamoja na mitambo yake! Ahahahahaha!!!Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Huyu msanii walimleta dar ili awasaidie uigizaji. Makonda aliwataja na hadharani wauza madawa bila woga ikaleta matokeo mazuri sana. Sasa tangu mama kaingia kawaruhusu wauza madawa kwa kuwapa ishara ya taa kijani. Wameshafungua soko sasa wanajua uchaguzi karibu wanatuletea maonyesho. Huenda hata hayo madawa ukakuta ni unga wa sembe yote. Vinginevyo hapo utafanyika uhuni watapiga hela ya kuhongwa mzigo utatoka.Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Kwa lipi sasa mi si nimeripoti tu
Hivi wanahabari wetu wameshindwa kunusa chochote kile juu ya hili sakata ama wahusika wake!?. JF ni jukwaa kubwa, kama wahusika wadogo kwenye jinai majina yao huwa yanawekwa hadharani, hii "double standard" inatokea wapi!?Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Tanzania Na Watanzania Siyo WajingaWanatuona wajinga, hamna kitu hapo.