Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Waachie wataalam acha kujifanya kila kitu.
 
Muongo tu huyo. Eti hatuwataji nani kakuuliza uwataje, stupid RC
Unapomkamata boss lazima uendeleze utaratibu wa kukamata visaidizi vyote vyote roots, zote aider wote bila kuharibu upelelezi / kwa ukubwa huu wa mzigo, vigogo wa serekalini hawakosekani, tuache uropo uropo na upopoma wa kihayawani.
 
Mh kanifurahisha....sasa kulikuwa hakuna haja hata ya kutueleza, walimalize kimya kimya tu. Mtaani tutaona mateja wanapungua hivi karibuni!
 
Niko nae kwenye foleni
 

Attachments

  • IMG_20231206_173733_449.jpg
    IMG_20231206_173733_449.jpg
    1.8 MB · Views: 4
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Akikamatwa mpika gongo anaoneshwa kabisa runingani pamoja na mitambo yake! Ahahahahaha!!!
 
Drugs kingpin mkuu ni Kin. Kin. Ngmbl Mwr

Wamemkamata????
 
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Huyu msanii walimleta dar ili awasaidie uigizaji. Makonda aliwataja na hadharani wauza madawa bila woga ikaleta matokeo mazuri sana. Sasa tangu mama kaingia kawaruhusu wauza madawa kwa kuwapa ishara ya taa kijani. Wameshafungua soko sasa wanajua uchaguzi karibu wanatuletea maonyesho. Huenda hata hayo madawa ukakuta ni unga wa sembe yote. Vinginevyo hapo utafanyika uhuni watapiga hela ya kuhongwa mzigo utatoka.
 
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Hivi wanahabari wetu wameshindwa kunusa chochote kile juu ya hili sakata ama wahusika wake!?. JF ni jukwaa kubwa, kama wahusika wadogo kwenye jinai majina yao huwa yanawekwa hadharani, hii "double standard" inatokea wapi!?

Kama kuna majina ya vigogo serikalini ama bungeni ni vyema yakaanikwa. Mzigo wa bwimbi wenye thamani ya TZS 100Bn si mchezo wa kitoto hata kidogo. Kuna mzito mmoja pale bungeni na mtoto wa namba.... hapa nchini sijui kama wataikwepa kashfa hii
 
Kazabuti Chalamila wapo wengi sana hao, ni mitandao mingi ambayo haiingiliani.
 
Ujanjaujanja Tu Mwakani Uchaguzi Serikali Ya Mtaa
 
Kama hawawezi kuwataja wamwite afande mroto awasaidie, tena yeye atawaonyesha kwenye TV na kuwapigapiga kwenye mabega........watapata tabu sana, kipigo chake ni cha mbwa koko😂
 
Back
Top Bottom