Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

Chalamila: Wakubwa wa madawa ya kulevya tumewakamata, hatuwataji

Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223
Ooh
 
Hatari sana,

Chalamira hana uwezo wa kukamata Drugs Kingpins awamu hii.. sidhani hata kile kiti kule juu nacho kinaweza kuwakamata au hata kutoa amri dhidi yao.

Sio kazi yake, vipo vyombo vyenye kazi hiyo
 
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223

Pia soma: Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi
kiherehere....si angepiga kimya mpaka wakate chain yote
 
Movie tu hiyo hata mahakamani hawatafikishwa kuepuka kuharibu upelelezi.

Kukamata siku hiyohiyo na kujua aina,uzito na bei ya soko ila upelelezi kukamilika miaka kumi.

Na ukikamilika mtaambiwa ni unga wa ngano siyo heroin tena.

..Je, ni sahihi kutaja " thamani " ya madawa yaliyokamatwa?

..kama utaratibu baada ya kukamata madawa ni kuyaharibu na si kuyauza kwanini tunajishughulisha kujua thamani yake?
 
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.[emoji23]

Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.

Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?

Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?

Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi.[emoji23][emoji23] Mae
View attachment 2856223

Pia soma: Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi
Saf sana, bora asiwatqje, kipindi cha JPM aliwataja mkapiga sana kelele eti anaharibu brand za watu. Nyie mazuzu hamjulikani mnataka nini
 
Halafu huwa najiuliza sana swali hili,

Kama na wao sio wauzaji wa madawa ya kulevya wanawezaje kujuwa thamani ya mzigo ..?

Hiii biashara Ina mkono mrefu sana aisee.
 
Back
Top Bottom