Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameyasema hayo akizingumza katika mapokezi ya ndege mpya ya mizigo aina ya BOEING B767-300F, mapokezi yanayoongozwa na Rais Samia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam.
Siwaoni ndani ya Chama wenye ubavu wa kukipasua chama kwa sababu wanajua fika kile kitakachowafika wakishabainika !! Na sidhani wako tayari kupoteza maslahi yao wanayoendelea kuyapata kupitia Chamani !! Huo ndio ukweli mchungu !!🙏🙏