Chalinze Cement yatoa tamko kuwa kampuni yao si ya mfukoni na sio matapeli

Chalinze Cement yatoa tamko kuwa kampuni yao si ya mfukoni na sio matapeli

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema:

“Chalinze ilisajiliwa ili iweze kuzalisha cement, Sheria inasema mtu yeyote ambaye anaweza kona maslahi yake yataingiliwa ana uhuru wa kulalamika, na siyo lazima uwe na kiwanda cha cement au mashine za uzalishaji.”

Ameongeza kwa kusema: “Chalinze sio tapeli, na Chama cha Walaji sio matapeli, ni taasisi ambazo zipo kwa mujibu wa Sheria na kwa kufuata taratibu zote za Sheria, sio wafanyafujo na walikidhi vigezo vya sheria.”

“Imejengeka picha kuwa hivi vyombo ni vya kutapeli, havipo n ani wasumbufu ambao lengo lao ni kuharibu uwekezaji, siyo kweli na umma unatakiwa kufahamu hilo.”
photo_2023-05-08_15-42-34.jpg

Aidha, Bernard Elia Kihiyo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema chama hicho kilichoundwa Mwaka 2007 kupitia Sheria ya Makampuni Brela, ilipofika kabla ya mabadiliko ya Mwaka 2019 baada ya Sheria kuelekea kubadili na kuwa chini ya Ustawi wa Jamii, amefafanua kuwa wao pia wana lengo la kutetea haki za walaji.

Kihiyo amesema: “Tumekuwa sehemu ya kuchangia na kusemea walaji katika ngazi zote za juu na chini, mfano Mwaka 2003 tulienda Mahakamani na kuzuia Sim card ambayo ilikuwa inataka kuuzwa Tsh. 1,000, mambo yalienda mbele na kutaka na win win situation.

“Kwa sasa baada ya kuona kuna changamoto inayoweza kutokea katika biashara, ikatufanya tuone mtu mwenye nguvu kubwa sokoni anaweza kufanya lolote na kuathiri soko.

“Kinachotokea katika kazi zetu za kila siku ni kuwa tunaangalia katika jicho la mbali, inaweza isitokee leo au kesho.”
 
nadhani hoja ilikuwa location ya kiwanda ipo wapi sio picha za usajili
-kiini Cha huu mgogoro ni Uuzwaji wa Tanga Cement PLC Kwa kampuni ya TWIGA, na hao Chalinze Cement walienda Kupinga Huo mchakato wa kuuzwa hisa 68.33%, ambayo ni Kinyume na Sheria ya ushindani
 
Tatizo wanapambana na serikali................serikali inayouwezo wakubadilisha sheria ilizoziweka yenyewe pindi wanappoona inakula kwao.
 
Tatizo wanapambana na serikali................serikali inayouwezo wakubadilisha sheria ilizoziweka yenyewe pindi wanappoona inakula kwao.
Ila kiuhalisia ni kwamba ununuzi wa TWIGA wa hisa 68.33% za Tanga Cement PLC, ni kosa na Kinyume Cha Sheria ya ushindani, hata kama waifute hiyo Kampuni ya Chalinze bado Uamuzi wa baraza la Ushindani uko pale Pale
 
Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema:

“Chalinze ilisajiliwa ili iweze kuzalisha cement, Sheria inasema mtu yeyote ambaye anaweza kona maslahi yake yataingiliwa ana uhuru wa kulalamika, na siyo lazima uwe na kiwanda cha cement au mashine za uzalishaji.”

Ameongeza kwa kusema: “Chalinze sio tapeli, na Chama cha Walaji sio matapeli, ni taasisi ambazo zipo kwa mujibu wa Sheria na kwa kufuata taratibu zote za Sheria, sio wafanyafujo na walikidhi vigezo vya sheria.”

“Imejengeka picha kuwa hivi vyombo ni vya kutapeli, havipo n ani wasumbufu ambao lengo lao ni kuharibu uwekezaji, siyo kweli na umma unatakiwa kufahamu hilo.”
View attachment 2614452
Aidha, Bernard Elia Kihiyo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema chama hicho kilichoundwa Mwaka 2007 kupitia Sheria ya Makampuni Brela, ilipofika kabla ya mabadiliko ya Mwaka 2019 baada ya Sheria kuelekea kubadili na kuwa chini ya Ustawi wa Jamii, amefafanua kuwa wao pia wana lengo la kutetea haki za walaji.

Kihiyo amesema: “Tumekuwa sehemu ya kuchangia na kusemea walaji katika ngazi zote za juu na chini, mfano Mwaka 2003 tulienda Mahakamani na kuzuia Sim card ambayo ilikuwa inataka kuuzwa Tsh. 1,000, mambo yalienda mbele na kutaka na win win situation.

“Kwa sasa baada ya kuona kuna changamoto inayoweza kutokea katika biashara, ikatufanya tuone mtu mwenye nguvu kubwa sokoni anaweza kufanya lolote na kuathiri soko.

“Kinachotokea katika kazi zetu za kila siku ni kuwa tunaangalia katika jicho la mbali, inaweza isitokee leo au kesho.”
kama waziri amesema ni kampuni ya kitapeli huyo wakili ni nani? Tumia akili wewe badala ya makalio
 
-kiini Cha huu mgogoro ni Uuzwaji wa Tanga Cement PLC Kwa kampuni ya TWIGA, na hao Chalinze Cement walienda Kupinga Huo mchakato wa kuuzwa hisa 68.33%, ambayo ni Kinyume na Sheria ya ushindani

Huku wametumezesha tango pori kwamba chalinze inapinga Twiga na Tanga cement kuungana.
 
Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema:

“Chalinze ilisajiliwa ili iweze kuzalisha cement, Sheria inasema mtu yeyote ambaye anaweza kona maslahi yake yataingiliwa ana uhuru wa kulalamika, na siyo lazima uwe na kiwanda cha cement au mashine za uzalishaji.”

Ameongeza kwa kusema: “Chalinze sio tapeli, na Chama cha Walaji sio matapeli, ni taasisi ambazo zipo kwa mujibu wa Sheria na kwa kufuata taratibu zote za Sheria, sio wafanyafujo na walikidhi vigezo vya sheria.”

“Imejengeka picha kuwa hivi vyombo ni vya kutapeli, havipo n ani wasumbufu ambao lengo lao ni kuharibu uwekezaji, siyo kweli na umma unatakiwa kufahamu hilo.”
View attachment 2614452
Aidha, Bernard Elia Kihiyo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema chama hicho kilichoundwa Mwaka 2007 kupitia Sheria ya Makampuni Brela, ilipofika kabla ya mabadiliko ya Mwaka 2019 baada ya Sheria kuelekea kubadili na kuwa chini ya Ustawi wa Jamii, amefafanua kuwa wao pia wana lengo la kutetea haki za walaji.

Kihiyo amesema: “Tumekuwa sehemu ya kuchangia na kusemea walaji katika ngazi zote za juu na chini, mfano Mwaka 2003 tulienda Mahakamani na kuzuia Sim card ambayo ilikuwa inataka kuuzwa Tsh. 1,000, mambo yalienda mbele na kutaka na win win situation.

“Kwa sasa baada ya kuona kuna changamoto inayoweza kutokea katika biashara, ikatufanya tuone mtu mwenye nguvu kubwa sokoni anaweza kufanya lolote na kuathiri soko.

“Kinachotokea katika kazi zetu za kila siku ni kuwa tunaangalia katika jicho la mbali, inaweza isitokee leo au kesho.”
Kwa trend na drama hizi tukubali kwamba CAG na ripoti yake ni kapuni au itatiwa sana maji.

Hizi drama zinazoanzia Bungeni hutokana na lengo ovu kwa Taifa linaloratibiwa na watu wenye akili lakini wenye njaa hadi mifupani kwao.

Tuendelee kuletea matango mwitu badala ya kujadili ishu za msingi za kitaifa
 
Mbona Serikali ishabariki kuuzwa kwa kiwanda husika
 
Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema:

“Chalinze ilisajiliwa ili iweze kuzalisha cement, Sheria inasema mtu yeyote ambaye anaweza kona maslahi yake yataingiliwa ana uhuru wa kulalamika, na siyo lazima uwe na kiwanda cha cement au mashine za uzalishaji.”

Ameongeza kwa kusema: “Chalinze sio tapeli, na Chama cha Walaji sio matapeli, ni taasisi ambazo zipo kwa mujibu wa Sheria na kwa kufuata taratibu zote za Sheria, sio wafanyafujo na walikidhi vigezo vya sheria.”

“Imejengeka picha kuwa hivi vyombo ni vya kutapeli, havipo n ani wasumbufu ambao lengo lao ni kuharibu uwekezaji, siyo kweli na umma unatakiwa kufahamu hilo.”
View attachment 2614452
Aidha, Bernard Elia Kihiyo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema chama hicho kilichoundwa Mwaka 2007 kupitia Sheria ya Makampuni Brela, ilipofika kabla ya mabadiliko ya Mwaka 2019 baada ya Sheria kuelekea kubadili na kuwa chini ya Ustawi wa Jamii, amefafanua kuwa wao pia wana lengo la kutetea haki za walaji.

Kihiyo amesema: “Tumekuwa sehemu ya kuchangia na kusemea walaji katika ngazi zote za juu na chini, mfano Mwaka 2003 tulienda Mahakamani na kuzuia Sim card ambayo ilikuwa inataka kuuzwa Tsh. 1,000, mambo yalienda mbele na kutaka na win win situation.

“Kwa sasa baada ya kuona kuna changamoto inayoweza kutokea katika biashara, ikatufanya tuone mtu mwenye nguvu kubwa sokoni anaweza kufanya lolote na kuathiri soko.

“Kinachotokea katika kazi zetu za kila siku ni kuwa tunaangalia katika jicho la mbali, inaweza isitokee leo au kesho.”
Wa style hiyo mimi huwaita ma "human jukeboxes" ukiwatia pesa wananyamaza.

Licha ya hao mawakili uchwara waliotajwa post namba moja, Wapo wengi wanaopiga kelele kwa matumbo yao. List yangu ya "human jukeboxes" ni hii...

Zitto Kabwe
Tundu Lissu
Mbowe
Lema
Lipumba
Mrema (marehemu)
Mpina
Makonda
Halima Mdee
Saeed Kubenea

Ongezea na wengine unaowakumbuka wewe.
 
Wa style hiyo mimi huwaita ma "human jukeboxes" ukiwatia pesa wananyamaza.

Licha ya hao mawakili uchwara waliotajwa post namba moja, Wapo wengi wanaopiga kelele kwa matumbo yao. List yangu ya "human jukeboxes" ni hii...

Zitto Kabwe
Tundu Lissu
Mbowe
Lema
Lipumba
Mrema (marehemu)
Mpina
Makonda
Halima Mdee
Saeed Kubenea

Ongezea na wengine unaowakumbuka wewe.
Wewe utakua na post ya uteuzi.
Iweje uwachukie wapinzani wa CCM tu ukiondoa shogazako Halima na makonda?
 
Back
Top Bottom