Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya basi bibie Endelea kutafuna pension ya Canada. Kumbuka dual citizenship haikubaliki TZ. Amua moja kati ya Canada ama Tanzania.Umri huu tena uteuzi? Labda ungesema nipendekeze wakuteuliwa.
Sikujali jua la adhuhuri ntajali sasa jua limekuchwa?Haya basi bibie Endelea kutafuna pension ya Canada. Kumbuka dual citizenship haikubaliki TZ. Amua moja kati ya Canada ama Tanzania.
We are closely monitoring every move you make.
MsibaWa style hiyo mimi huwaita ma "human jukeboxes" ukiwatia pesa wananyamaza.
Licha ya hao mawakili uchwara waliotajwa post namba moja, Wapo wengi wanaopiga kelele kwa matumbo yao. List yangu ya "human jukeboxes" ni hii...
Zitto Kabwe
Tundu Lissu
Mbowe
Lema
Lipumba
Mrema (marehemu)
Mpina
Makonda
Halima Mdee
Saeed Kubenea
Ongezea na wengine unaowakumbuka wewe.
Consumers, unajua maana yake?Chama cha Walaji Sementi au?
- Wala hiyo principle ya 'Rule against bias ' haitumiki hapo, huyo Wakili ndiye ameendesha hiyo Kesi na amewashinda Twiga Cement,Wakili wa kuetetea walaji.
Wakili huyo huyo ni WA kampuni ambayo ni sehemu ya mgogoro uliopo.
Nadhani anaelewa natural justice theory iitwayo NEMO JUDEX IN CAUSA SUA
Hao challinze hawana interest yoyote ya kuuzwa kwa kiwanda hicho?- Wala hiyo principle ya 'Rule against bias ' haitumiki hapo, huyo Wakili ndiye ameendesha hiyo Kesi na amewashinda Twiga Cement,
-Huyo ni Wakili wa Chama Cha Walaji Tanzania (TCAS) as well as Wakili wa Chalinze Cement,
-Alichokifanya huyo Wakili Lutema ni kuonyesha kuwa Chalinze Cement imesajiliwa Brela.
- interest waliyonayo ni Kuwa wao ni wadau wa cement hapa Tanzania, na Hilo Hali athiri lolote kwenye hiyo Kesi, the fact that Chalinze Cement ni mdau wa Cement haliathiri lolote hapo.Hao challinze hawana interest yoyote ya kuuzwa kwa kiwanda hicho?
Always on point hata kama mtu hakubaliani na weweWa style hiyo mimi huwaita ma "human jukeboxes" ukiwatia pesa wananyamaza.
Licha ya hao mawakili uchwara waliotajwa post namba moja, Wapo wengi wanaopiga kelele kwa matumbo yao. List yangu ya "human jukeboxes" ni hii...
Zitto Kabwe
Tundu Lissu
Mbowe
Lema
Lipumba
Mrema (marehemu)
Mpina
Makonda
Halima Mdee
Saeed Kubenea
Ongezea na wengine unaowakumbuka wewe.
Upande mmoja mdau wa cement Tanzania, huyo huyo ni yupo kwenye walaji. Hauoni interest hapo?- interest waliyonayo ni Kuwa wao ni wadau wa cement hapa Tanzania, na Hilo Hali athiri lolote kwenye hiyo Kesi, the fact that Chalinze Cement ni mdau wa Cement haliathiri lolote hapo.
-hilo halijaathiri chochote, na ndio maana hata Wakili Lutema alivyoenda kufungua kesi Fair competition tribunal (FCT) hakuwekewa pingamizi na Mawakili wa TWIGA Cement, ingekuwa ni Conflict of interest mawakili wa TWIGA Cement wangeweka pingamizi na huyo Wakili Lutema angejitoa kwenye Kesi ya Chalinze Cement, & Tanzania Consumers Advocacy Vs Twiga Cement,Hakan Gurdal, Fayaz Bojan, lakini Wakili Lutema aliendelea na Kesi na kuwashinda TWIGA Cement.Upande mmoja mdau wa cement Tanzania, huyo huyo ni yupo kwenye walaji. Hauoni interest hapo?
Kwani hicho chama Cha walaji Wana wakili mmoja tuu. Kwa nini asingekuwa ambaye hausiki kabisa kwenye issue hiyo ili awe impartial?
Huyo wakili, waajiri wake Wana interest kwenye hilo Dili full stop. Yamkini Kuna donge nono wamekosa-hilo halijaathiri chochote, na ndio maana hata Wakili Lutema alivyoenda kufungua kesi Fair competition tribunal (FCT) hakuwekewa pingamizi na Mawakili wa TWIGA Cement, ingekuwa ni Conflict of interest mawakili wa TWIGA Cement wangeweka pingamizi na huyo Wakili Lutema angejitoa kwenye Kesi ya Chalinze Cement, & Tanzania Consumers Advocacy Vs Twiga Cement,Hakan Gurdal, Fayaz Bojan, lakini Wakili Lutema aliendelea na Kesi na kuwashinda TWIGA Cement.
-
Sasa kwenye tawala utapata wanaopambania wananchi kweli?😁😁Wewe utakua na post ya uteuzi.
Iweje uwachukie wapinzani wa CCM tu ukiondoa shogazako Halima na makonda?