Challenge Cup: Kilimanjaro Queens yaitandika Uganda 4-1 na kuingia fainali

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Timu ya Soka ya wanawake(Kilimanjaro Queens) imeifunga Uganda goli 4-1 na kuingia fainali za Chalenji.

Itapambana na Kenya katika fainali baada ya Kenya kuitandika Ethiopia goli 3-2 katika nusu fainali nyingine.

 
Hongera zao. Fainali itakuwa ngumu
 
Timu ya Soka ya wanawake(Kilimanjaro Queens) imeifunga Uganda goli 4-1 na kuingia fainali za Chalenji.

Itapambana na Kenya katika fainali baada ya Kenya kuitandika Ethiopia goli 3-2 katika nusu fainali nyingine.

Hongera mabinti, Wakenya wasiwababaishe.
Fungeni Wakenya chukua kombe.
Mungu awatangulie!!
 
Kwa ukanda wa Afrika Mashariki kwa timu za wanawake,Tanzania iko vzr sanaa,kombe letu haina shaka
 
Timu ya Soka ya wanawake(Kilimanjaro Queens) imeifunga Uganda goli 4-1 na kuingia fainali za Chalenji.

Itapambana na Kenya katika fainali baada ya Kenya kuitandika Ethiopia goli 3-2 katika nusu fainali nyingine.

Hongera sana...
 
Wahanda waliàmua kuwaibisha Znz wsmekutana NA cha motoo
 
Hatari sana, inabidi wakacheze mataifa Afrika
 
naikumbuka vyema saana hii timu toka enzi zile za kina Esther Chabruma 'lunyamila'..
asseee alikua mdeadly hatari, hivi aliolewa au yuko wapi huyu mdada..!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…