Kwasasa kuna kiongozi yeyote anaeweza kufikwa na challenge za kupelekea kutaka kuombewa?Kitendo cha kusema aombewe ni taarifa kuwa anakabiliwa na magumu ambayo ni hatari kwake na kwamba maombi pekee ndo njia ya kuepuka hatari.
Magumu yanaweza kuwa maadui anaoingilia maslahi yao
Covid19, Na Mungu Alituvusha.Habari wakuu,hamjambo?
Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.
Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?
Nawasilisha.
Ndo ujamaa ulivyo, mwenye nacho agawie wengine kidogo Kila kiongozi Ana formula zake anapoingia madarakani.Wakati yeye akikwapua bilions za wananchi maskini wa Tanzania, na kuendelea kuwabatiza wanyonge wakati anang'ata na kuwapuliza!!
BONGE YA MNAFIKI, HAKUNA ALIYEWAHI KUWA MNAFIKI KAMA JIWE!
Akajitengenezea kakikundi cha kusifu na kuabudu na kuwaaminisha watu kuwa ni wanyonge, waliofanikiwa ndo wanawaibia, na maskini walivyo na roho za kimaskini wakahisi wapo na mesia,
Kumbe jambazi linatuma vibaka kukwapua hela za watu na kwa kuwa ameshika madaraka akawa anawatisha kuwafunga, kuwaua, au kuwapoteza!!
Hela ikakwapuliwa haijulikani imeenda wapi, bunge halijaipitisha kwenye budget, kaenda kuficha nje!!
Ila Mungu fundi haswa!! Amejua kuwafurahisha watanzania🤣🤣🤣
Lini hiyo watu waliogopa kuiba? Prof. Assad alipobainisha Ile 1.5t nini kilimpata?ilifikia mahali watu wakaogopa kuiba pesa ya umma.
...ulipofika wewe hadi unapost unayoyapost, ukute ungekuwa umeshakufa kwa kihoro bila Mungu kumjalia Hekima na Utulivu wa akili Mzee Magufuli(R.I.P) katika kushughulikia hilo janga kama ambavyo Watanzania tulimuomba Amjalie.Mungu kawafikisha wapi kwa Sasa?
Siasa za Ujamaa ni siasa zilizofail siku nyingi sana, zinatengeneza Taifa goigoi hata nisipofanya kazi jirani atanigawia, hata nisipofikiri kuna mtu atafikiria kwa ajili yangu!! A failed system of Leadership!!Ndo ujamaa ulivyo,mwenye nacho agawie wengine kidogo Kila kiongozi Ana formula zake anapoingia madarakani.
Kwaiyo kifo kimetokea Kama kukomolewa na Mungu,hayo machache aliyofanya sio chochote?...ulipofika wewe hadi unapost unayoyapost, ukute ungekuwa umeshakufa kwa kihoro bila Mungu kumjalia Hekima na Utulivu wa akili Mzee Magufuli(R.I.P) katika kushughulikia hilo janga kama ambavyo Watanzania tulimuomba Amjalie.
Nilitaka kuandika exactly kama ulivyoandika !! Huu ukubwa kama wa Usultani ni mbaya kwa sababu ubaya wowote ukifanyika na watendaji wa Serikali lawama zote automatically zitaelekezwa kwa huyo Mkuu mwenye mamlaka yote Nchini na hakuna namna yeyote ya kuzikwepa hizo lawama !! Na ndipo ule msamiati maarufu wa kukwepa lawama unaotumiwaga na baadhi ya hao watendaji unapopata nguvu -: ( maagizo kutoka juu ) !!Kukiwa na Katiba mpya nzuri ya Wananchi taasisi zikawa imara hakuna haja ya maombi kwa raisi.
Kwasababu Katiba hii inamfanya raisi kuwa Sultani na kumtwisha kazi zote ndio maana huwa wanasema waombewe.
Ndio utaratibu tulioukuta au unapingana na hayati baba wa taifa na Katiba yake ya Tanzania.Siasa za Ujamaa ni siasa zilizofail siku nyingi sana, zinatengeneza Taifa goigoi hata nisipofanya kazi jirani atanigawia, hata nisipofikiri kuna mtu atafikiria kwa ajili yangu!! A failed system of Leadership!!
...Hata Yesu Kristo Alivyomaliza Kazi Yake Alirudi kwa Baba.!Kwaiyo kifo kimetokea Kama kukomolewa na Mungu,hayo machache aliyofanya sio chochote?
Yes, kujaribu kuua upinzani, kumlea Musiba nkIla kuna kitu alifanya ktk uongozi wake au hamna?
Kila mtu ni lazima atakufa siku yake ikifika !! Mimi wewe na wengine wote tutagooo kila mmoja kwa wakati wake uwe ni mwema au muovu kugoo ni lazima wether we like it or not !!Kwaiyo kifo kimetokea Kama kukomolewa na Mungu,hayo machache aliyofanya sio chochote?
Raisi apunguziwe madaraka ili asi feel overwhelmed ili asiombe kuombewa ombewa.Nilitaka kuandika exactly kama ulivyoandika !! Huu ukubwa kama wa Usultani ni mbaya kwa sababu ubaya wowote ukifanyika na watendaji wa Serikali lawama zote automatically zitaelekezwa kwa huyo Mkuu mwenye mamlaka yote Nchini na hakuna namna yeyote ya kuzikwepa hizo lawama !! Na ndipo ule msamiati maarufu wa kukwepa lawama unaotumiwaga na baadhi ya hao watendaji unapopata nguvu -: ( maagizo kutoka juu ) !!
Katiba mpya ni muhimu !!Raisi apunguziwe madaraka ili asi feel overwhelmed ili asiombe kuombewa ombewa.
Hakuna upinzani wa kweli,upinzani uliopo nikwaajili ya kuibana serikali ili itoe ganji sio kwa maslahi ya umma ,nadhani ndio ilipelekea awabane wampishe afanye kazi,kuonyesha ilo hata waliokuwanae chama kimoja mbona aliwabana kweli kweli.Yes, kujaribu kuua upinzani, kumlea Musiba nk
Tatizo hapa Ni ku goo ukiwa haujakamilisha mikakati uliyojipangia uenda ikawa imetafsiliwa vibaya na watuKila mtu ni lazima atakufa siku yake ikifika !! Mimi wewe na wengine wote tutagooo kila mmoja kwa wakati wake uwe ni mwema au muovu kugoo ni lazima wether we like it or not !!
Wepi lakini wanaopaswa kuombewa kati ya wale wanaotembea kwa miguu mchana kutwa tena kila siku ili waweze kupata riziki zao au wale ambao wanatembea na mavieite yenye viyoyozi ??!!KITI Cha ubunge, uwaziri, utendaji, ukurugenzi, UCEO ni KITI KIMOJA.
Bt wananakalia KITI hichi hicho tangu uhuru ni watu tofauti tofauti.
Pia KITI kina maelekezo yake ambayo yaeza kuwa ni tofauti na maono ya mkalia KITI au maono ya wa walomtuma mkalia KITI.
Hadi kufikia hapo, huoni IPO haja ya mkalia KITI kuombewa?
Hata Mbowe ana KITI, hatembelei VITS yule, ana watu anaowaongoza,Wepi lakini wanaopaswa kuombewa kati ya wale wanaotembea kwa miguu mchana kutwa tena kila siku ili waweze kupata riziki zao au wale ambao wanatembea na mavieite yenye viyoyozi ??!!