Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
HongeraNdio
Hivi vidole au Carrots?
Huyu mama ukimzingua utamkoma, dizaini hizi wanapigana hata na wanaume saba na hawamfanyi kitu
Acha kutukana wenzako.
Mkishatusema na tangawizi zetu basi tunahangaika mpaka mseme mmeelewa!😁Hahaha kwa kweli...usikute mnakuwa mnavipaka hadi pilipili, apple vinegar na soya source
Ohhh...kama hivyo basi, maana hata mi nisingependa kumchosha binti kiziwi.Ntafika mbali sana na mimi sitaki kufika huko, sitaki kumpa mhaho shemeji yangu binti kiziwi
Hastahili kabisa natanguliza shukrani kwa kulitambua hiloOhhh...kama hivyo basi, maana hata mi nisingependa kumchosha binti kiziwi.
basi poleSitaki
Hahaha yeah iliishaShopping imeisha eeh?😋
Hips zimenona hizo 🙂
Shemeji nini tena kinaendelea kati yako na Dr Lizzy .Ntafika mbali sana na mimi sitaki kufika huko, sitaki kumpa mhaho shemeji yangu binti kiziwi
Ni salamu tu shem hakuna kingine kati yangu na daktari.Shemeji nini tena kinaendelea kati yako na Dr Lizzy .
Mi nasubiri mahari ujue nifanye biashara ya utumwa 😀