Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Sawa mkuu, ipambanie utaipataKuna mtu anaeza kuja kureply ili tu nisiipate hiyo vocha ya mwekundu, hebu tukaushiane basi wakuu[emoji23][emoji23][emoji23]
utapata tuu ππSawa ngoja waje kukupa muongozo
HtwwKmmmk
Mchawi sio lazima uvae hirizi, hahahaautapata tuu [emoji23][emoji23]
Sawa mkuu ahsante kwa muongozoReply au like? Kutokuwa na reply mbona kawaida tu?
Anyway, ole wake mtu aje areply kwenye hii comment yangu wallahi kitaumana [emoji16]
Mkuu ushanikosesha vocha kizembe tu halafu dah [emoji16][emoji16][emoji16]Sawa mkuu ahsante kwa muongozo
Hahahahaa, jahazi lazima lizame na mabaharia woteMkuu ushanikosesha vocha kizembe tu halafu dah [emoji16][emoji16][emoji16]
Nakupata mkuu. Ngoja tuone baharia atakayeibuka kidedea [emoji16]Hahahahaa, jahazi lazima lizame na mabaharia wote
Mwongozo gani wakati yeye ndo katoa mwongozo?Sawa ngoja waje kukupa muongozo
UnazinguaHtww
Sawa mkuuOk [emoji28]
Ukiipata unigawieSawa mkuu, ipambanie utaipata
Wahusika wanakujaAtakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.
Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
Kivuruge on point[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mkuu, ipambanie utaipata