shamzugi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 535
- 1,115
Poa poa mwana, pambania kombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa mwana, pambania kombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok [emoji28]
Prayed that you'll get it!Atakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.
Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
Baba ako marehemuBongo bahati mbaya
Mkuu mbona nukta tu? 😁😁
Hahaha yani mmejibu hadi nukta wazeeMkuu mbona nukta tu? 😁😁
Nakuapia, hakuna atakae kujibu...Ukinijibu unawashwa 😂😂😂😂
Umbwa wewe. Kakunwe huko 😂😂😂Nakuapia, hakuna atakae kujibu...
Na iwe hivyo CastrPrayed that you'll get it!
Hii inatuhusu wote na wewe ukiwemo ama ni sisi tu wajibu commentsWakuu
Hapa tufanye challenge kidogo,ambaye comment yake haitokuwa na reply kwa siku nzima atapata vocha ya 10k ...sitanii
Twende kazi
Mkuu Mungu akujalie uitwe na si kuitwa Tu upate kazi kabisa, maana upande wangu hata hizo interview siitwi siku hiziAtakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.
Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
Hii dryspell ya interview hua inatokea. UtaivukaMkuu Mungu akujalie uitwe na si kuitwa Tu upate kazi kabisa, maana upande wangu hata hizo interview siitwi siku hizi