Challenge: Vocha ya 10,000 kwa mwenye reply/comment itakayokosa kujibiwa

Challenge: Vocha ya 10,000 kwa mwenye reply/comment itakayokosa kujibiwa

Atakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.

Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
Mkuu Mungu akujalie uitwe na si kuitwa Tu upate kazi kabisa, maana upande wangu hata hizo interview siitwi siku hizi
 
Back
Top Bottom