Bokooo, fantastic attempt by boko, what a move
Waungwana, vipi ngoma imeisha????
Combination ya boko na ngasa ni nzuri. Mpira wanacheza vizuri. Dk ya 72 sisi 1 wao bila
hali ya mchezo ikoje chokambayaa maana sasa mioyo inadunda maana hawa waTZ huwa hawaainiki. Goli linaweza kurudi dakika ya mwisho