Challenge ya 2011; matches na results

Tumepata nafasi ila bado forward haijatulia vizuri
kosa kosa ni nyingi ila bado mungu wetu...dk 88
 

ni kweli, ila ni vema kushambulia ili kupunguzi mashambulizi langoni mwa kili stars
 
Mvua ndo imezidi kuchanganya
dk ya 91 bado tupo vizuri
wao 0 sisi 1
 
ohla laa pressure inapanda ...pressure inashukaaa jamaaniii mpaka saa hivi (1810hrs) mpira haujaishaa tuuu
 
Tanzania 1 -Rwanda 0..final whistle!
 
ngoja nikanunue mche wa sabuni kwanza
 
Vijana wamecheza kweli leo!
Ila jambo moja nililonotice..vijana wetu ni kama hawajawahi kufanyia mazoezi wakati wa mvua. Inakaa ni wale wa mvua inanyesha wao haooo..beach!!!!!!!!!!!
Wameteleza vibaya sana..but ndo ivo tumeshinda!
Next ni Uganda au!??
 
akina amijei mdebwedo vipi nao wamevukaa?
 
shukran kwa updates wakuu, hongera kili stars. Kumtoa huyo bingwa mtetezi kwenye semi inabidi wawaulize ndugu zao waliwabana vp mpaka wakafika nae kwenye matuta
 
akina amijei mdebwedo vipi nao wamevukaa?
Walitolewa kwenye mikwaju ya penati! Historia ya 2005 haijajirudia..
maana that time walishinda 5-4 on pnalties na sasa wameshindwa 5-4 on ponalties!!!
Pole zao..
 
Namnukuu polsen "I expect very tight match against uganda
but i think will make it"

Kama stars watajituma kama leo, uganda watachemsha
ila wako fit sana
 
Nafuu tumeshinda, sasa tujipange vizuri,, naamini tutacheza na Ivory Coast next. Katika haya mashindano sipendi vitu viwili, cha kwanza wageni wawe mabingwa, jana nilifurahi sana kuona wageni Zambia na Malawi wanatupiwa virago vyao. Furaha yangu itakamilika kuona na Ivory coast anaunga tera la wenzake. Pili sipendi Uganda atwae ili kombe kabisa, mana watakuwa wameweka rekodi ya kutwaa mara tatu (hut trick) sifa ambayo sitaki nchi nyingine iwe nayo zaidi ya Tanzania, kwa maneno mengine ama Kilimanjaro Satrs ama Zanzibar heroes na sio mshamba mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…