chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 546
- 69
Tumepata nafasi ila bado forward haijatulia vizuri
kosa kosa ni nyingi ila bado mungu wetu...dk 88
kosa kosa ni nyingi ila bado mungu wetu...dk 88
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nilitaka kusema hivyohivyo, Ngassa na Boko ni combination safi. Lakini je, Kili Stars imebadili mfumo au bado wanacheza vilevile. Mie nafikiri waweke mkazo kwenye ukuta zaidi na kushambulia kishkajishkaji tu. Dakika 20 hizi hako kamoja kanaweza kutusaidia kwenda mbele.
mpira kwisha sisi tumesonga mbele
Tanzania 1 -Rwanda 0..final whistle!
ngoja nikanunue mche wa sabuni kwanza
Du. Afadhali. kwa hiyo kesho sikukuu kama kawaida maana tungefungwa sikukuu ingefutwa
Walitolewa kwenye mikwaju ya penati! Historia ya 2005 haijajirudia..akina amijei mdebwedo vipi nao wamevukaa?
Kwani jezi za timu yetu huoshwa kwa mikono ama am not reading btn the lines!??ngoja nikanunue mche wa sabuni kwanza