chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 546
- 69
John boko anakosa goli la wazi
yaani huu ni u**%%** sasa
John boko anakosa goli la wazi
ni kama kili wanazinduka. Tunapata kona mfululizo, nadhani machaku ameleta uhai katika kiungoMchezo ukoje lakini? Tunashambulia au tunashambuliwa sisi?
ngassa kabaki na kipa akakosa ila
kajitahidi walau kulenga golini
Stephen mwasika nae......
dk ni ya 73