sijui utaratibu ukoje lakini miminadhani kiongozi yoyote nchi wana chama anaweza kuwa mgeni rasmi aumaalim seif sasa anakuwaje mgeni wa rasmi wakati hio ni timu ya tanganyika ?
au siku maalim yale mambo ya utanganyika na uzanzibari yameisha ?
au Mgosihii mipira ya kukimbiza inafaa ngasa angekuwepo, vijana wanamchecheto kweli, inabidi watulie sana
akikusikia Maximo kama anauwezo ana kupa ban ya miaka 3kwa kweli kaseja anastahili pongezi