kwa msisitizoHongera sana Tanganyika
kwa msisitizo
sasa hvi mnataka kusema waliochukua ni Tanganyika na sio Tanzania bara ?
mbona mnatumia bendera ya Tanzania na wimbo wa tanzania
tuache kubaguana
sasa hvi mnataka kusema waliochukua ni Tanganyika na sio Tanzania bara ?
mbona mnatumia bendera ya Tanzania na wimbo wa tanzania
tuache kubaguana
sasa hvi mnataka kusema waliochukua ni Tanganyika na sio Tanzania bara ?
mbona mnatumia bendera ya Tanzania na wimbo wa tanzania
tuache kubaguana
kaseja has proved those who contend him wrong...kwa kipindi chote ambacho yeye hakukaa golini hatukuwahi hata kufika nusu fainali...amerudi tu...na kombe...tena akiwa amefungwa goli moja tu.....apewe hongera zake....
maximo to hell...alipokuwa hapa alidai anatakiwa na timu kubwa barani afrika na kwingineko duniani lkn sasa mwaka unaisha hatujasikia akifundisha.......
Kweli kabisa. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Maximo alitutoa mbali sio vizuri kumbeza. Tatizo lake lilikuwa ni kisasi, kikosi chake kilikuwa kila mara kina matatizo ya makipa, na Kaseja alikuwepo lakini akumuita kwenye timu. Angeacha kisasi chake na kumruhusu Kaseja golini enzi zile uenda na yeye Maximo sio tu angesaidia Stars kufanya vyema mashindanoni na hata kutwaa vikombe, bali pia angeendelea kuwako leo kama kocha wa Stars. Hasira, kutosamehe, kisasi, ubishi, umwinyi, umwamba, na mambo mengine kama hayo sio vizuri mwanadamu akayaendekeza. Ona sasa imekula kwake wakati Kaseja anameremeta.Huyu kocha jamani anaonekana ni mtaalamu sana kwenye mbinu za mchezo coz tulivyoanza watu wengi walikata tamaa ila jinsi mashindano yalivyokwenda mambo yamekuwa tofauti kabisa, hongera sana Poulsen walau wewe umetufanikisha kuchukua kombe hili...........kwa maximo naweza kusema shukran kwa sababu asilimia kubwa ya haya tunayoona leo yameanzishwa na yeye.
Magoli yenyewe memngi ni ya matuta kiwangi baaado saaana
hivi hakuwahi kuweka cv yake waziNani kakwambia Maximo alikuwa Kocha? Maximo alikuja hapa kwa Ubrazil wake tu wala hakuwa Kocha, Jamaa ni Misheni Town mitaa ya Reo de Jeneiro