Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.

dear husninyo wanaokupa hongera kwa kitendo cha kuamua kuondoka ukiwa umejifunza kutokana na makosa na kwa kitendo cha kushare maajabu yaliyokupata hawakosei kwani wengi wangefanya hii ni siri yao na kupotea kimyakimya,kama hapo pa kibabu mim sidhani kama ningesema.

Pia wanaokupa pole na kukuonea huruma mi naona pia uwaelewe mpenzi,hata mim ninakuonea huruma jinsi ulivyopoteza muda wako (mwingi labda) Pm ukiwasiliana na hiki kibabu ukidhani umeopoa kijana mwenzio,Pia mim kama msichana najua siku uliyokwenda kukutana na kibabu ulivyotumia muda wako kujiremba au hata kuingia gharama za salon labda kununua perfum nzuri na jinsi ulivyovaa nguo unazoamin zinakupendeza kuliko zote ili uwe atractive kwa "kijana" mtakapokutana hii nayo inatosha kuwafanya watu wakuonee huruma .Pia mshituko ulioupata na jinsi ulivyojisikia baada ya kukiona kibabu badala ya yule kijana wa kwenye PM aliyekuvutia kiasi cha kufunga safari kwenda kukutana naye inatosha watu kukupa pole na kukuonea huruma.Pia kwanini watu wasikuonee huruma wakati mwanajf kakurusha pesa zako na inaonesha zinakuuma ndo maana ukachukua muda wako kuziongelea.Na huyo rafiki yako aliyepotea bila kukueleza chochote huoni kuwa labda inawezekana hakuwa akiuchukulia urafiki wenu serious sana sbb ni urafiki wa kimtandaoni ndo maana akaondoka bila kukwambia chochote,au labda s/he is no more.Ninachokisema hapa ni kuwa wewe unasema huoni sababu ya kuonewa huruma lakini mim kwa mtizamo wangu sina haja ya kukudanganya sbb wewe ni ndugu yangu wa kimtandao,UNASTAHILI KUONEWA HURUMA.
 
Yummy wewe! Kwani amesema amekutana nao wote?

Afu nakusalimu.

SL mpenzi wangu,sasa kama hajakutana nao imekuwaje akapatwa na hayo majanga?na utamkopesha vp mtu hela kama hamfahamiani???!!!this is weird.

Naomba na ww usije ukaondoka kama Hus mtanifanya nizimie;-)
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaaaaaaaaaaaa si mchezo
 
Kweli nimeamini ww ndo kibabu wa Husn! Mi nikajua tutaenda Tahiti, ila kule joto kama bongo. Twende walau visiwa vya malaysia bana, huna a den on the beach?
 
sweetlady, wifi kipenzi sijui yuko wapi aje anisaidie na sheria za ushemeji shemeji! Huwezi kumuita shem wako bila mpangilio. Afu nna wivu siku hizi, sijui nazeeka! Kha!
Na kwa taarifa mi huwa sikopi, nakopesha bila riba. Uje nikuongezee mtaji wa madera.
Nimesahau ujue! Paw popote ulipo tafadhali usithubutu kum ban klorokwini.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh...it sounds kinda peculiar, doesn't it?

Mimi muoga sana wa kukutana mijitu ya humu. Huwa sitaki na sipendi kabisa save for 3 people one of whom was just by pure happenstance and he seems to be a real class act.

Unajua ingekua mtu 1 au 2 labda ningemuelewaa sasa yeye watu wote hao wa nini?? A fishy story. Acha tu niendelee na uwoga wangu utanisaidia.
 
Unajua ingekua mtu 1 au 2 labda ningemuelewaa sasa yeye watu wote hao wa nini?? A fishy story. Acha tu niendelee na uwoga wangu utanisaidia.

Hmmmm....hahahaaaa JF ni msitu na jalala. Kuna kila aina ya wanyama na takataka (read: tungo, hadithi - za kweli na za uongo).

Wakati mwingine unasoma tu na kuyaacha hapo hapo maana ukifikiri tu hata kidogo unaanza kuona vitu ambavyo haviingii akilini kabisa.
 

Nisichoelewa Husninyo ni kwa nini baada ya kuaga na kupewa hiyo Ban ya maisha usiipotezee hiyo Id na kurudi na Id mpya badala ya kuingia as a Guest tukakosa michango yako? Una uzoefu na challenges so utajua jinsi ya kuzikwepa.
 
Last edited by a moderator:
Wifi nae kapotea sana siku hizi, sijui utasaidiwa na nani lol... Afu kumbe sijakwambia biashara ya madera nimeiacha eeh?...
 
Last edited by a moderator:
SL mpenzi wangu,sasa kama hajakutana nao imekuwaje akapatwa na hayo majanga?na utamkopesha vp mtu hela kama hamfahamiani???!!!this is weird.

Naomba na ww usije ukaondoka kama Hus mtanifanya nizimie;-)
Mie ntafuata ushauri wa Nyani Ngabu , napotea kimya kimya wala hamtajua nini kimenipoteza...

Mimi bado naumia Yummy, sitaki Husninyo aondoke.
 
Last edited by a moderator:
Nisichoelewa Husninyo ni kwa nini baada ya kuaga na kupewa hiyo Ban ya maisha usiipotezee hiyo Id na kurudi na Id mpya badala ya kuingia as a Guest tukakosa michango yako? Una uzoefu na challenges so utajua jinsi ya kuzikwepa.
Umenena vema Ennie!..naimani ataufanyia kazi ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:

sounds sarcastic...
 
i think topic yako imekuonyesha mwenzetu ulikuwa hapa sio kuposti tu bali hunting pia for someone/a man which is not a bad thing...

mmh... not a bad idea, for all intents and purposes...
 
Mie ntafuata ushauri wa Nyani Ngabu , napotea kimya kimya wala hamtajua nini kimenipoteza...

Mimi bado naumia Yummy, sitaki Husninyo aondoke.
Mimi bado natafakari kuondoka na husninyo wangu, namalizia mipango ya kutoa rushwa boda la rwanda nitorokee nae congo kinshasa. Kishindwe na kilegee kibabu cha challenge D.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…