Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.

kabisa mkuu baeleezeee!
 

kabisa mkuu baeleezeee! Wengine hata jukwaa tumehama tunaingia kwa kuchungulia
 
Pole sana Husninyo...
Ntakumiss sana shem wangu.....
 
Last edited by a moderator:
Husninyo...shemeji mbona umenikata stim ivoo!...dah!
 
Last edited by a moderator:
hizi ni robo tu ya drama za humu lol
halafu we uliposema unanipenda sijaelewa
ndo unataka nikuharibie usichana wako au vipi?lol

Duh! Robo tuu? Shigongo atatuma watu wake humu MMU kunyaka stories.
 
Najaribu kupiga hesabu, Husninyo kasema kibabu kina umri mara tatu yake..Hebu tudhani kwamba Husn ni kijana (si lazima kumuamini) ana miaka 25..kwa hiyo ni 25x3=75 (umri wa kibabu).

Lakini pia tufikiri tena, ujana unaishia 30's mwishoni....sasa let say Husn ana miaka 35 kwa hiyo inakuwa 35 (Husn) x 3 = 105.Kwa hiyo mpendwa wetu Husn alikutana na au kufanya socialisation (tafsiri kwa kiswahili) na kibabu kinachoweza kumzaa Robert Mugabe..duh!!

Lakini nimpongeze Babu maana kama ameweza kumtoa binti (kijana?) kwenye forum na kumliza si jambo dogo! Haya mengine ya mkopo ni nyongeza tu.

Unawasiliana na mtu humfahamu/hujamuona na mnaongea mambo mengi ya heri,lakini eti ghafla mnapokutana na kumuona akiwa mzee umuhimu wake unapotea?
 
Reactions: EMT
Kama ulikuwa huamini, basi amini kuanzia leo kuwa behind the scene kuna mambo mengi sana yanafanyika mazuri na mabaya vikiwemo vioja vyote tuvishuhudiavyo mitaani!! Kuna watu wakianikwa humu utastaajabu nakwambia......

Mmmmhhhh kasheshee na asante kwa kunijuza.
 

Mkuu kwa hizo calculations inaonyesha tuna members wazee sana hapa JF.
 

Hapo umenena. JF unapaswa uchanganye akili za mbayuwayu na za kwako.
 
Ni tahadhari nzuri hasa kwa wale wenyekupenda kuwaamini watu hata bila kuwaona. na wale wenyetabia ya kutongoza kila wanapoona picha nzuri. lkn JF yakujifunza ni mengi hata Phd ya Fb waweza kupata.
 

Naona watu mnajitolea kweli kuondoka na Husn sasa sijui yy atamchagua nani! So far naona mapigo ya Kloro makali zaidi.....cha kusikitisha NN hajajitolea hata kumpandisha bajaji yake kumfikisha aendako.
 
Last edited by a moderator:
Unawasiliana na mtu humfahamu/hujamuona na mnaongea mambo mengi ya heri,lakini eti ghafla mnapokutana na kumuona akiwa mzee umuhimu wake unapotea?

i, for one, napata taabu sana kuelewa hii concept... mimi naamini unaweza kufahamiana na kujenga urafiki na mtu yeyote whether ni kijana, mzee, mwanaume au mwanamke na ukawa na manufaa fulani kijamii, kikazi, kielimu, kibiashara etc; tatizo baadhi yetu tuna-concentrate mno kwenye mahusiano ya kingono kiasi kwamba tunamiss out on other beneficial aspects za kufahamiana na kuanza ku-label watu inappropriately...
 
How??? Nichange fone no, name n everything? It is impossible. I hope no damage will be done, kwa muda ninamuamini niliyempa!

Kama unamuamini unalalamikia nini kujuta? kichekesho kingine hiki!
 
Mkuu kwa hizo calculations inaonyesha tuna members wazee sana hapa JF.

Si wazee tu..tuna waongo,wakweli na wahalifu wa mapenzi pia.Ndio maana huwa nasoma katikati ya mistari..mara nyingi unakuta story/taarifa za uongo zimewekwa humu.Au unasoma na kuamini ni story ya kweli kwa ujumla wake lakini mengine yametiwa chumvi au upotoshaji.

Hili limechangiwa sana na wasomaji kupenda ishu zisizoumiza kichwa - Story ya fasta fasta inayosisimua na majibu ya fasta fasta..ukweli utajulikana mbele ya safari.

Yote kwa yote hii ni jumuiya ya watu wengi unaweza kuiita Jumuiya ya wasiotabirika (maadam hatuonani..mwenye sura mbaya atajionyesha mzuri sana...mzuri sana lakini bogus atajionyesha ana akili nyingi....mwenye kazi ya kawaida tu atajifanya anatoka ofisi kubwaa.....Bila kusahau mzembe kitandani atajionyesha ni mahiri kwenye ngono!!!! Akili mkichwa).
 
Reactions: EMT
Husny utakimbia jf kwa ID tuliokuzoea kwa ajili ya kuanza ukurasa mpya? Kwa nini
usianze ukurasa mpya kwa kuweka settings mpya hapa jf. No pm from members na hao
unao wafahamu na mna contact mnaendelea kama kawaida. Huona kama unawanufaisha hao
waliokusababisha uondoke hapa? Huko uraiani inakuaje ukichemka na kufanya mistakes,
unatafuta maisha mapya na kuhama kabisa mji na makazi? Maneno yako inaonesha umesha amua,
sisikitiki kuondoka kwako sababu wote huwa tunaondoka kwa sababu mbali mbali hasa majukumu
ila nasikitika kuondoka kwako sababu mtu kwenye key bod kakuharibia mudi ya kuwepo hapa.
Kuonesha kweli umemature ungeendelea na hio hio ID ila na taratibu na misimamo mipya
tokana na mafunzo uliopata kwenye hizo challenge zako.
 
Mbona mimi sijawahi kutana na mwana JF yeyote kwa miaka yote nilikuwapo hapa?? au kwa sababu niko nje ya nchi?
Nikipanga safarikurudi nyumbani itanilazimu nifanye mihadi na wana jf tule kiti moto wote
 

Mwenzio kaolewa na kapewa sharti la kujitoa JF hivi vingine vyote ni visingizio tu! Kwa heri mway tutaonana. Tutakukumbuka kwa vimbwanga vyako.....bwah hwa hahahahahaaa
 
Mwenzio kaolewa na kapewa sharti la kujitoa JF hivi vingine vyote ni visingizio tu! Kwa heri mway tutaonana. Tutakukumbuka kwa vimbwanga vyako.....bwah hwa hahahahahaaa


Hilo nalo neno, ukute kapata mtu hapa na kamshawishi aage hapamfai tena. teh teh teh.
huyo mtu anaogopa kama yeye kampata hapa, wasije wengine wakaparamia mali yake. :tongue:
 

https://www.jamiiforums.com/mahusia...429-wanajf-wa-mmu-tumoderate-jukwaa-letu.html
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…