Chalz baba afanya gender humiliation live kwa wema sepetu

Chalz baba afanya gender humiliation live kwa wema sepetu

ao wawil wote wanatukanana tu
juzi wema kamchamba chalz na chalz nae kamchamba wema

haina haja ya kuangaika na watu km awa
staha ,busara nehiii..elimu zao ndo km yangu apa so wanayoyafanya ndo upeo wa mwisho wa fikra zao

kujiiingza kuanza kuwadiskus ni kujivunia heshima...WANAJUANA AO


wote ndo wale wale ...wema kamtusi bob junior sjui ..wamepelekana wap sjui wamesamahenana..matus kwao ndo salamu



WANAJUANA AO MUWAAACHE NA UPUUUZI WAO
 
Sasa wewe ulitaka asemeje?


Lyangalo, umesoma vizuri kweli wewe au umejibu tu. Waukweli ckidogo amesema Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi. Wewe unaludia tena kumuuliza ulitaka asemeje, ni kweli chaz baba hajatutendea haki sisi wanawake, japo kweli huyu mdogo wetu ana mambo yake. Lakini kwa kuwa Charles baba naye huo mfereji alishayanywa maji yake na yakakata kiu yake hakutakiwa kuyakashifu.
 
Let me refresh chalz baba statement, Wema kwangu ni sawa na daladala kila mwenye nauli anapanda na akifika kituo anachokwenda anashuka. ni malaya mbovu tu. PERIOD.
 
wacha wafu wazike wafu wao.............
Tujadili mstakabari wa taifa letu
 
ao wawil wote wanatukanana tu
juzi wema kamchamba chalz na chalz nae kamchamba wema

haina haja ya kuangaika na watu km awa
staha ,busara nehiii..elimu zao ndo km yangu apa so wanayoyafanya ndo upeo wa mwisho wa fikra zao

kujiiingza kuanza kuwadiskus ni kujivunia heshima...WANAJUANA AO


wote ndo wale wale ...wema kamtusi bob junior sjui ..wamepelekana wap sjui wamesamahenana..matus kwao ndo salamu



WANAJUANA AO MUWAAACHE NA UPUUUZI WAO

Maneno ya busara sana haya toka kwa mwanamke tunayeweza kujivunia kwamba ni dada yetu, shangazi yetu, mama yetu, mke wetu n.k, n.k

Yani mumeo ana bahati sana kuwa na mke mwema na mwenye busara kiasi hiki ,hadi namuonea wivu!!:A S-rose:
 
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.

Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??

Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.

Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.

MWISHO

Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo

Naunga mkono hoja zote isipokuwa moja tu...kwenye red.

Clouds FM inasikilizwa ulimwengu mzima? Over My Dead Body!
 
jamani ni chalz baba au ni diamond aliyemtusi wema????mbona u-turn wamesema ni diamond.....btw wema huu ndio mshahara wa kutembea na low life suckerz!!!!!

U-turn walidandia gari kwa mbele, kwa masikio yangu nilisikiliza hyo interview ilikuwa ya chalz baba na sio diamond
 
nimesikiliza the whole interview... you decided to pick only a portion which was pinchy!!! Very poor analysis mkuu

Wpte wawili wameharibiana na kama ni kudhalilisha basi wamedhalilishana, chalz alichofanya ni kuharibu pale alipoharibiwa

siungi mkono wote wawili lakini title yako haiko fair kabisa, umekurupuka kama malaria sugu

Yule binti went to the station two days ago, kachafua mambo kwa kusingizia lakini hiyo hujasema
Actually kama ni mimi ningesema the guy has been harrased mno na amefikia kupigiwa simu mara kumi akiwa stejini which is not good, amepigiwa simu sa kumi asubuhi na akarekodi mazungumzo nk

be fair ndugu if you want to be respected

Mimi pia nilimsikiliza wema tena vizuri, lakini hakuna ambapo Wema alimuita chalz baba malaya....kwani kusema alikuwa anaandikwa kwa kutumia mgongo wa Wema ni tusi???? ki ukweli hata kama Wema angemtukana lakini kama binadamu mtashi hakupaswa kujibu kwa kumtukana. Kosa halirekebishwi kwa kufanya kosa kijana.
 
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.

Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??

Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.

Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.

MWISHO

Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo

Watakapo jitambua haya mambo yataisha, udhalilishaji wa namna hii unatakiwa kufikishwa mbele ya sheria,watu wakianza kulipa damage ndipo wataanza kuchunga midomo yao.yeye amejuaje kama huyo dada ni malaya ina maana na yeye yuko hivyo.
 
aiseeee hata mie napinga hoja ya kumfananisha bibie sana Wema Sepetu na mama,dada, wala chochote cha kwangu cha kike, akiwemo mbwa wangu wa kike!maana ntakuwa nimekosewa heshima mno.

Ubaya ni kwamba Wema ni star kwa hiyo ya kwake yanaonekana zaidi, lakini kama ni tabia za kufanya hayo mambo watu kibao wamekubuhu ni vile tu hawawezi kuandikwa kama wema. tusimnyooshee binti wa watu kidole namna hii. Mungu hapendi na atatuhukumu kwa kuhukumu wenzetu.
 
aloo we waukwel kwanza rekebisha jina lako,pili andika kiswahili fasaha na sio cha sidanganyiki.tatu wema yeye si kama mama zetu na wala hawafanani.nne je ulisikia maneno ya wema aliyosema pia akihojiwa kumkashifu chaz baba hapo kabla?kama hujasikia itafute nenda kwa zamaradi blog

Nitaomba unisaidie kamusi ya kiswahili fasaha ili nijifunze kiswahili vizuri. si unajua shule "no english no service" ticha alikuwa anatuadhibu tukizungumza kiswahili, matokeo yake nikawa nakuwa kimya tu kwani kiinglish kilikuwa mgogoro na kiswahili nacho ishu.
 
Naunga mkono hoja zote isipokuwa moja tu...kwenye red.

Clouds FM inasikilizwa ulimwengu mzima? Over My Dead Body!

Kama ulikuwa hujui leo nikupe taarifa tu, hii redio iko online so unaweza kui access karibu ulaya yote , mimi nshawahi kui access nikiwa nchi tofautitofauti kama nne hvi za ulaya.
 
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.

Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??

Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.

Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.

MWISHO

Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo

Unachosikitika nini??,

Hayo ni ya wawili?

Tuwaachie ufea au sio ufea wanajuana wao!
 
Hivi hicho kipind cha leo tena c ndio mambo yao hayo!tujadil mamb ya msingi.
 
Lyangalo, umesoma vizuri kweli wewe au umejibu tu. Waukweli ckidogo amesema Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi. Wewe unaludia tena kumuuliza ulitaka asemeje, ni kweli chaz baba hajatutendea haki sisi wanawake, japo kweli huyu mdogo wetu ana mambo yake. Lakini kwa kuwa Charles baba naye huo mfereji alishayanywa maji yake na yakakata kiu yake hakutakiwa kuyakashifu.

Acha koleo liitwe koleo, na sio kijiko kikubwa
 
lizzy kama ulikuwepo mi nilibahatika kumsikia wema pia cluods juzi akihojiwa juu ya chalz eeee bwana aliongea so wametukanana na wanajuana jana chalz alikuwa anamjibu wema alichoongea juzi
Huyo mwanamke yeye hua hawatukanagi hao wakaka???!
 
jamani ni chalz baba au ni diamond aliyemtusi wema????mbona u-turn wamesema ni diamond.....btw wema huu ndio mshahara wa kutembea na low life suckerz!!!!![/QUOTE]
Hapo kwenye Red bila shaka na yeye ni hivyo hivyo usishangae akiwa nao!
 
Back
Top Bottom