mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
No comment,next time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo "c" ina maana gani? Upuuzi mtupu, kama chaz baba na wema walivyo!chalz baba alichofanya c fear!correction - fair
Sasa wewe ulitaka asemeje?
ao wawil wote wanatukanana tu
juzi wema kamchamba chalz na chalz nae kamchamba wema
haina haja ya kuangaika na watu km awa
staha ,busara nehiii..elimu zao ndo km yangu apa so wanayoyafanya ndo upeo wa mwisho wa fikra zao
kujiiingza kuanza kuwadiskus ni kujivunia heshima...WANAJUANA AO
wote ndo wale wale ...wema kamtusi bob junior sjui ..wamepelekana wap sjui wamesamahenana..matus kwao ndo salamu
WANAJUANA AO MUWAAACHE NA UPUUUZI WAO
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.
Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??
Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.
Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.
MWISHO
Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo
jamani ni chalz baba au ni diamond aliyemtusi wema????mbona u-turn wamesema ni diamond.....btw wema huu ndio mshahara wa kutembea na low life suckerz!!!!!
nimesikiliza the whole interview... you decided to pick only a portion which was pinchy!!! Very poor analysis mkuu
Wpte wawili wameharibiana na kama ni kudhalilisha basi wamedhalilishana, chalz alichofanya ni kuharibu pale alipoharibiwa
siungi mkono wote wawili lakini title yako haiko fair kabisa, umekurupuka kama malaria sugu
Yule binti went to the station two days ago, kachafua mambo kwa kusingizia lakini hiyo hujasema
Actually kama ni mimi ningesema the guy has been harrased mno na amefikia kupigiwa simu mara kumi akiwa stejini which is not good, amepigiwa simu sa kumi asubuhi na akarekodi mazungumzo nk
be fair ndugu if you want to be respected
Wema is a low life sucker as well... LOL:biggrin1:
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.
Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??
Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.
Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.
MWISHO
Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo
aiseeee hata mie napinga hoja ya kumfananisha bibie sana Wema Sepetu na mama,dada, wala chochote cha kwangu cha kike, akiwemo mbwa wangu wa kike!maana ntakuwa nimekosewa heshima mno.
aloo we waukwel kwanza rekebisha jina lako,pili andika kiswahili fasaha na sio cha sidanganyiki.tatu wema yeye si kama mama zetu na wala hawafanani.nne je ulisikia maneno ya wema aliyosema pia akihojiwa kumkashifu chaz baba hapo kabla?kama hujasikia itafute nenda kwa zamaradi blog
Naunga mkono hoja zote isipokuwa moja tu...kwenye red.
Clouds FM inasikilizwa ulimwengu mzima? Over My Dead Body!
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.
Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??
Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.
Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.
MWISHO
Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo
Lyangalo, umesoma vizuri kweli wewe au umejibu tu. Waukweli ckidogo amesema Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi. Wewe unaludia tena kumuuliza ulitaka asemeje, ni kweli chaz baba hajatutendea haki sisi wanawake, japo kweli huyu mdogo wetu ana mambo yake. Lakini kwa kuwa Charles baba naye huo mfereji alishayanywa maji yake na yakakata kiu yake hakutakiwa kuyakashifu.
Huyo mwanamke yeye hua hawatukanagi hao wakaka???!
jamani ni chalz baba au ni diamond aliyemtusi wema????mbona u-turn wamesema ni diamond.....btw wema huu ndio mshahara wa kutembea na low life suckerz!!!!![/QUOTE]
Hapo kwenye Red bila shaka na yeye ni hivyo hivyo usishangae akiwa nao!