... let me trySijaona cha gender humiliation ni kuaibishana kwenye media..Wacha wachambane, watanyamaza wakichoka!..Mijinga!
Jamani mimi naandika hili nikiwa na machungu kutoka moyoni. Tarehe 19/05/2011 Chalz baba alihojiwa kuhusu tetesi za yeye kurudiana na Wema Sepetu, lakini majibu aliyojibu kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya udhalilishwaji wa mwanamke (specifically Wema). Alisema eti Wema ni kama mfereji, daraja, malaya ambaye anajirahisha kwa wanaume ili aendeshe maisha yake kwani ni mvivu na hana bidii katika maisha. Na hivo kwa maneno hayo chalz baba akasema hawez kurudiana na malaya kama Wema.[/SIZE
Lengo la kuleta uzi huu si kwa ajili ya kumtetea Wema lakini kama a gender sensitive person chalz baba hakuwa sahihi kuongea maneno kama haya tena mazito kwenye chombo cha habari tena ambacho kinasikilizwa ulimwengu mzima. Baada ya yeye kumaliza shida zake ndo leo anamuona malaya?? kwani malaya anafanya hiyo tabia peke yake?? Ina maana hata yeye chalz baba inabidi aitwe hvo. Huyu mwanamume akumbuke kuwa na yeye ana mama, dada, na hata shangazi zake ambao ni wanawake na siku ya siku yanaweza kuwapata haya anayomfanyia wema leo. Je yakitokea kwa familia yake atafurahi??
Natoa wito kwa wanaume wooote kuweza kuepukana na udhalilishaji wa kijinsia kama huu ambao unaweza kuepukika. Angeweza kusema tu kwamba hana mpango wa kurudiana na wema bila kutamka hayo matusi.
Hakuna kama mama jamani, mwanamke yeyote ni mama. tuheshimianeni pamoja na kasoro tulizonazo.
MWISHO
Kama kawaida masharobaro wataniuliza source, source ni Clouds FM tar 19/5/2011 kipindi cha movie leo
Kabla ya chalz kuhojiwa alihojiwa wema jana yake, labda hamkusikiliza lakini wema pia aliongea kashfa kama kawaida yake, alisema chalz baba alipokua naye ndo alikuwa anapata coverage ya media, niliweza kurekodi sehemu ya mahojiano hayo nita ipost hiyo audio file ili muweze ku balance (when I get back to my comp)
... let me try
wewe bj wewe kwanza we unajipendekeza tu ndio :argue: maana MP zako zote nimezirekodi :A S 100:baada ya posts zangu kuweka kweny loud speaker:nono:, ndio maana hata asprin nikamwambia unanirusha sana na posts na mie niko kazini nahangaikia jukwaa la wakubwa :frusty::A S-confused1::A S-omg::smash::crutch::A S-rap:
ukijibu tu:doh::doh::doh::doh: umenidhalilisha :nono:
Huyo mwanamke yeye hua hawatukanagi hao wakaka???!
mtajiju na umbea wenu huko, si twala bata tu mamtoni
Huyo mwanamke yeye hua hawatukanagi hao wakaka???!
Weee!!! anawatusi kama hana akili nzuri, siku moja alisema eti yule bwana yake wa zamani sijui ndo chalz baba! anachonga sana.. au alitaka yeye (huyo bwana yake) ndo awe na daimondi.
SOURCE: nilimsikia akihojiwa katika kipindi cha leo tena cha clouds fm
fear! anaogopa nini?chalz baba alichofanya c fear!
... let me try
wewe bj wewe kwanza we unajipendekeza tu ndio :argue: maana MP zako zote nimezirekodi :A S 100:baada ya posts zangu kuweka kweny loud speaker:nono:, ndio maana hata asprin nikamwambia unanirusha sana na posts na mie niko kazini nahangaikia jukwaa la wakubwa :frusty::A S-confused1::A S-omg::smash::crutch::A S-rap:
ukijibu tu:doh::doh::doh::doh: umenidhalilisha :nono:
Hahahah natamani kumsaidia BJ kujibu!!
MwanajamiiOne said:Jamani kama ni issue ya gender sensitivity ninadhani ni jukumu la watanzania wote kulizingatia na si victims au waumizaji. Mimi nadhani kuna haja pia ya kukicondemn hata hicho kituo kilichorusha hayo mahojiano. maneno ya kashfa dhidi ya binadamu mwenzie si mazuri na pia si maadili katika jamii yetu kusikika yakitamkwa hadharani.....kwa nini wasiedit kwanza kabla hawajayarusha?? Lilikuwa ni jukumu lao kuwausia hao wahojiwa kuwa lugha kali za matusi na kashfa haziruhusiwi katika mahojiano haya fullstop.
Wether Wema au HBaba ni mfereji au bahari haituhusu sie wasikilizaji na wala hakuna aliye perfect katika maisha. tusi/ kashfa kwa Wema ni sawa na tusi kwa dada zetu, mama zetu, binti zetu au hata nyanya zetu na vile vile tusi/kashfa kwa Hbaba ni sawa na tusi/kashfa kwa baba zetu, kaka zetu, watoto wetu na hata waume zetu.
Tuwajibike
Ndugu ninafikiri mtoa mada hapa ameitoa kulalamikia lugha zilizotumika kwa hawa wapenzi hakuileta hapa tumchambue wala kumtukana H baba wala Wema so pleasetambua kuwa si haki kuwasema watoto wa binadamu mwenzio kuwa ni an embarasment kwani we huna watoto? na kama huna hutokuwa nao?
unawezafikisha ujumbe wako vizuri pasipo kukashfu.
peace