rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
kama ni matapishi ya makambo ni uharoMatapishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni matapishi ya makambo ni uharoMatapishi
kama ni matapishi ya makambo ni uharo
Mo ndiye atakayemlipa mshaharaalikosana na mo sio simba
uto kama utoChama sio mzur kihivyo,hakuna kitakacho badilika.
Sasa simba itakuwa na wapoza mpira wawili chama na morrison tutegemee kudraw sana
uto kama uto
Kamwaga sio msemaji wa simbaMsemaji wa simba sc, bwana kamwaga amepost picha hii ya kiti katika page yake ya fb na kuandika 90% soon kitu kinachomaanisha anakwenda kusimamisha mitandao leo lakini inasemekama tayari chama yupo mjini hapa na leo anatangazwa kuwa mchezaji halali wa simba sc jioni ya leo,
Karibu sana clatous chama simbaView attachment 2046006View attachment 2046007
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Kwani manara si alituaminisha kuwa anaenda utopwinyoMsemaji wa simba sc, bwana kamwaga amepost picha hii ya kiti katika page yake ya fb na kuandika 90% soon kitu kinachomaanisha anakwenda kusimamisha mitandao leo lakini inasemekama tayari chama yupo mjini hapa na leo anatangazwa kuwa mchezaji halali wa simba sc jioni ya leo,
Karibu sana clatous chama simbaView attachment 2046006View attachment 2046007
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Ndio aliwaaminisha hivyo manyani f.c.Kwani manara si alituaminisha kuwa anaenda utopwinyo
Ndio aliwaaminisha hivyo manyani f.c.
Ifike wakati yanga waache huu ushamba wa kuchukua wachezaji kibao waliochuja kutoka timu moja, hii inashusha hadhi ligi yetu, sababu ukiiangalia yanga unaweza kudhani unacheza na As vita.Makusu mundele unamjua?
Sawa mtabiri tambi tambi.Haitasaidia pila mtacheza lile lile bovu