CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

CHAMA AMESHATUA SIMBA MDA HUU

Msemaji wa simba sc, bwana kamwaga amepost picha hii ya kiti katika page yake ya fb na kuandika 90% soon kitu kinachomaanisha anakwenda kusimamisha mitandao leo lakini inasemekama tayari chama yupo mjini hapa na leo anatangazwa kuwa mchezaji halali wa simba sc jioni ya leo,
Karibu sana clatous chama simbaView attachment 2046006View attachment 2046007

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Watu kwa uongo,chama yupo morroco

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16]
Screenshot_20211218-215145-1.jpg
 
Watu wengine ili waandike humu lazima kwanza wavute bangi na baada ya hapo ndio waje kuposti chochote kinachowaijia kichwani.
 
Hawa ndio makolo
Hivi junior lokosa mlimtupia wapi au mlipigwa za uso?
 
Back
Top Bottom