Chama aomba kuondoka Simba SC

Chama aomba kuondoka Simba SC

Simba imepoteana sana, mbaka waje kukaa sawa itachukua mda sana. mbaka muda huu Simba tayari amesha poteza ubingwa wa next season.
Wewe rudi kwenu Burundi tu, Kiswahili gani hiki unaandika?
 
hajawaji kuwahi nao mpira makolo huwa yananunua mechi na kuloga na kupulizia sumu vyumba ndo maana ikaonekana anajua, hamna kitu pale
Utopolo mlikuja mkayashtukia yale maduka mkayatimua, nadhani karibu yote mmeshayaondoa!
 
Simba kama kawaida yao wanaona bora aende kokote duniani ila sio yanga![emoji3][emoji3][emoji3]
 
Simba imepoteana sana, mbaka waje kukaa sawa itachukua mda sana. mbaka muda huu Simba tayari amesha poteza ubingwa wa next season.
unajifunza kuandika au nyinyi ndo wale wanafunzi wa memkwa?
 
Clatous Chota Chama kiungo fundi wa Kimataifa wa Simba kutoka Zambia ameomba kuondoka kikosini Simba msimu huu unaoisha.

Pande zote mbili zipo zikijadiliana kuhusu sakata hilo. Tetesi zinadai Chama anataka kwenda South Africa kama ilivyo kwa Rally Bwalya.

My take:
Kama ni kweli naona kabisa Chama akipita njia zilezile za Okwi miaka ile alivyokuwa anajua kuisumbua Simba hasa pale anapokuwa hajapewa hela yakeView attachment 2264963
Isiwe amerubuniwa na Uto kwa mlango wa uani.
 
Simba imepoteana sana, mbaka waje kukaa sawa itachukua mda sana. mbaka muda huu Simba tayari amesha poteza ubingwa wa next season.
Imepoteana kivipi? Kwa Chama kuomba kuondoka au kwa Yanga kuchukua ubingwa mwaka huu? Lete hoja zinazo prove statement yako
 
Imepoteana kivipi? Kwa Chama kuomba kuondoka au kwa Yanga kuchukua ubingwa mwaka huu? Lete hoja zinazo prove statement yako
Kwasasa uwezi elewa subiri dirisha la usajili lifungwe ndio utanielewa. Ni ngumu kumwelewesha mshabiki wa Simba Kwa Sasa.
 
TETESI: Pablo afungua kesi CAS kumshtaki chama na simba kwa ngumi alizopigwa na clatous chama half time kwenye mechi dhidi ya mabingwa watarajiwa wa CAF mwaka huu yaani yanga

Pablo alitaka simba ichukue hatua lakini simba waksingizia chama anaumwa kumbe anadai milioni 300 alizojikomboa nazo Berkane na hajalipwa

Kama haitoshi chama alienda ofisini kwa Mo Dewji akampiga mangumi secretay wa Boss la mchongo Mo dewji baada ya kunyimwa kumuona ili kulipwa pesa zake
Hizi story mnazitoaga wapi
 
Chama sio mungu wa Simba SC, muhimu ieleweke hivyo, hata kuwepo Simba Sc milele iko siku lazima ataondoka, iwe kwa kustaafu au vinginevyo...

Kumsujudia mwanadamu mwenzako ni dhambi kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom