Chama au Selikali kutumia nguvu kubwa kupendwa

Chama au Selikali kutumia nguvu kubwa kupendwa

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Ukiona Chama au selikali, huwa inatumia nguvu kubwa kupendwa basi jua kwamba imejaa madhaifu makubwa
Na ndiyo stairi inayotumi chama cha CCM na selikali yake, wamechoka hawana mbinu mbadala tena zaidi ya kutetea ujinga na matumbo yao,

Nauona mwisho mbaya kwa inchi ya Tanzania, sababu viongozi wake kwa makusudi wamekuwa wanachokifanya na wanachohubiri ni tofauti, huku wakijua hata usipowapigia kura watapita tu, kwa sababu ya udhaifu wa tume ya uchaguzi na jeshi la polisi ambavyo viko chini yao

Nauona uvumilivu ukiwa umekwisha kwa wananchi, wakiongozwa na viongozi wao wa dini,pamoja na utaifa yaani utanganyika na uzanzibari pamoja na udini, yaani vinaende kutuvurugia amani yetu yote, sababu ya urafi wa kundi fulani dogo sana la watawala, ambao wanajiona wana haki kwa kila wanachokifanya, kiwe kizuri au kibaya

Yanayokuja yanasikitisha
 
Ukiona Chama au selikali, huwa inatumia nguvu kubwa kupendwa basi jua kwamba imejaa madhaifu makubwa
Na ndiyo stairi inayotumi chama cha CCM na selikali yake, wamechoka hawana mbinu mbadala tena zaidi ya kutetea ujinga na matumbo yao,

Nauona mwisho mbaya kwa inchi ya Tanzania, sababu viongozi wake kwa makusudi wamekuwa wanachokifanya na wanachohubiri ni tofauti, huku wakijua hata usipowapigia kura watapita tu, kwa sababu ya udhaifu wa tume ya uchaguzi na jeshi la polisi ambavyo viko chini yao

Nauona uvumilivu ukiwa umekwisha kwa wananchi, wakiongozwa na viongozi wao wa dini,pamoja na utaifa yaani utanganyika na uzanzibari pamoja na udini, yaani vinaende kutuvurugia amani yetu yote, sababu ya urafi wa kundi fulani dogo sana la watawala, ambao wanajiona wana haki kwa kila wanachokifanya, kiwe kizuri au kibaya

Yanayokuja yanasikitisha
Ni hatari, yaan mnaambiwa msipochagua CCM sileti maendeleo!! Ila hawa jamaa...!
 
Kama utawala katili na wenye nguvu wa Kirumi ulidondoka kwenye Karne ya 5! Tena baada ya kutawala miaka elfu kadhaa!, basi hata hii ccm nayo itakuja tu kufa kifo cha mende. Ni suala tu la muda. Na kama siyo leo au kesho, basi watoto wetu/wajukuu wetu watakuja kushuhudia.

Maana hakuna lenye mwanzo, likakosa kuwa na mwisho.
 
Back
Top Bottom