Chama cha CUF wananchi wilaya ya Kinondoni kufanya mkutano mkubwa wa hadhara Magomeni Februari 2, 2023

Chama cha CUF wananchi wilaya ya Kinondoni kufanya mkutano mkubwa wa hadhara Magomeni Februari 2, 2023

Joined
Nov 28, 2019
Posts
7
Reaction score
14
CuF- chama cha wananchi wilaya ya kinondini

Mkutano mkuu wa hadhara

Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia prof.Lipumba.

Usipange kukosa njoo tuisimamishe kinondoni, njoo tuijaze magomeni.

#ChamaMakini
#ViongoziMakini

Screenshot_20230131-162517.png
 
Wastage of time because they don't have any agenda instead they are assisting the ruling party to stay in power ...
 
CUF watafanya mkutano mkubwa!!!? Watu wa kuhudhuria huo mkutano wa CUF watatoka wapi wakati CUF ishakufa kitambo???
 
CuF- chama cha wananchi wilaya ya kinondini

Mkutano mkuu wa hadhara

Viongozi wakuu wa chama watakuwepo wakiongozwa na bingwa wa uchumi dunia prof.Lipumba.

Usipange kukosa njoo tuisimamishe kinondoni, njoo tuijaze magomeni.

#ChamaMakini
#ViongoziMakini

View attachment 2501417
Lipumba ahamie tu kwenye kupiga mawaidha misikitini huku ameshachuja na mdomo wake unapepesa tonge mithili ya mamba!
 
Back
Top Bottom