Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na CDM walifanya nini kuepuka hayo?Nccr mageuzi yaliwakuta haya,Cuf waliyapata mazila haya na sasa Chadema ndio inayopata haya mazila. Inaonesha ccm wanaongopa sana chama kikuu cha upinzani ndio maana hutumia nguvu zote ili kufifisha upinzani. Katiba iliopo sasahivi ni ya ccm sisi tunataka katiba mpya tu. Mbona ccm wana ogopa kuna nini kwani hata waogope katiba mpya?
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Matumizi mabaya ya dolaTurudi kwenye mstari Ukweli Watanzania wengi Wana chuki na maumivu makubwa mioyoni mwao.Tusiwe wanafiki , nchi yetu haina sababu kuwa na wafungwa wa kisiasa Ni uhuni na laana za mizimu ya wachache.
Uongo hautakusaidia loloteWanabodi,
Mnamo jana, naibu katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na maendeleo Bw Benson Kigaila aliongea na vyombo vya habari ambapo aliezea mambo ambayo lazima yatekelezwe ili kama wana CHADEMA, waweze kushiriki vikao ambavyo msajili wa vyama vya siasa amepanga kufanya. Katika mambo ambayo Benson Kigaila aligusia na kusema kwamba lazima yafanyike ni pamoja na
1. Zuio la vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara liondolewe
2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aachiliwe
3. Wana CHADEMA wengine ambao wapo mahabusu tofauti nchini waachiwe
Kwanza kabisa, nina amini kwamba haki ya kujieleza ipo kwenye katiba yetu ila jambo ambalo sielewi ni sababu ya vyombo vya usalama kuhusika kwenye kuwa kamata na kuzuia mikutano ya hadhara au mikusanyiko ya aina yoyote inayofanywa na wana CHADEMA. Vile vile bado kesi za Freeman Mbowe na wana CHADEMA wengine walio kamatwa nchini hazija sikilizwa. Kwasababu hizo sidhani kama matakwa ya wana CHADEMA yanatekelezeka haswa katika muda wanaotaka haya yote kufanyika.
Inawezekana kabisa kwa msajili wa vyama vya siasa kuwa na nia nzuri kwa kuchukua hatua hii ya kuzungumza na wahusika wote wakiwemo polisi na wana CHADEMA lakini maswali mengine ya kujiuliza ni kama kweli wana CHADEMA wanataka kufanya maridhiano, kama kweli wanafahamu kwamba matakwa yao hayatekelezeki. Siasa safi, ambazo kila chama kina wafuasi wake na kila chama kina heshimu maamuzi ya chama kingine ni kitu ambacho kinawezekana na jitihada kama hizi za kujenga mahusiano chanya kati ya washika dau wote ni mwanzo wa hatua njema. Kama "Chama cha Demokrasia na maendeleo", huwezi kupungukiwa chochote kwa kukaa chini kwa muda usiozidi masaa mawili au matatu kusikiliza maoni ya mtanzania mwenzako aliye upande wa pili. Inawezekana kwamba wana CHADEMA hawaelewi kuwa maandamano yote na hasira waliyonayo vinaweza kuelekezwa kwa IGP Sirro mezani wakiwa wanaongea naye ana kwa ana na sio kwenye mitandao. Ladba ni kweli, Uanaharakati hauna tofauti sana na ushabiki wa mpira, Chama cha Demokrasia na maendeleo kinaendeshwa kwa fujo na bila mantiki.
Hahaha! Sawa Bwana Tindo, tulizoea huko nyuma likitokea jambo lolote kubwa linalogusa wananchi na serikali moja kwa moja CDM walikuwa wanaitisha press na kulizungumzia kwa undani, Juzi NKM kafanya press huku jana yake tu taifa limetangaza kupokea 1.3 trl from IMF na wakatangaza pia matumizi ya hiyo hela na mgawanyo kwa bara na visiwani, katika press yake hiyo fupi sana ilijaa tu Mbowe, Msajili na mikutano ya hadhara!! Hakugusia hilo suala la fedha hata kidogo, CDM ya zamani haikuwa hivyo, wangehoji na wangechambua hayo matumizi, wangekosoa, kushauri na kupongeza panapopongezeka!! Wenzao CCm nao wameitisha press jana, sehemu kubwa ya hiyo press wamezungumzia hilo suala la fedha!! Ni kama mmeshindwa/mmechoka kufanya kile ambacho chama kikuu cha upinzani inabidi kifanye!! Masuala kama bei ya mahindi, wamachinga, bei ya mbolea kuwa juu, vitu kupanda bei hamjawahi kuyaitia press hata siku moja!! Nyie ni Mbowe, Mbowe, Mbowe!! Kama mmeshindwa kazi kaeni pembeni, mkileta vurugu mtavunjwa viunoNimecheka kwa nguvu, eti Cdm walikuwa na hoja 2015 kushuka chini. Maoni haya ni ya wanaccm wote, utasikia huko Cdm aliyekuwa na hoja ni Dr.Slaa, lakini wakati wa Dr. Slaa ndio Cdm ilichafuliwa sana kwa ukristo, uchaga, uongo, fujo, maandamano nk. Hivyo sishangai haya maoni yako ya bendera fuata upepo.
CC😡chadema Chadema DiasporaNani mwenye hoja kwa CDM hii ya sasa iliyojichokea? CDM walikuwa na hoja kuanzia 2015 na kushuka chini, hii ya sasa wamejaa wapotoshaji, wakurupukaji, wutukanaji, wazushi na wapinga kila kitu! May be Mkiti ila naye hana back up siku hizi, Mnyika since Lowasa alivyopokelewa kapoa sana! Hawa wengine akina Heche, Lema, Msigwa, Sugu, Pambalu, Kigaila, Lissu hamna lolote wajualo zaidi ya kupayuka majukwaani na uongo! I cant believe nimewahi kuwa die hard fan wa Lissu, Lissu viwango vimeshuka sana kwa sasa, na hivi anavyojiexpose kila siku kwenye "vispaces" uchwara vya wasaka tonge ndiyo anazidi kujishushia thamani yake na kuonesha jinsi gani mweupe kichwani! Kiongozi wa chama kikubwa lazima uwe adimu kupatikana, hata kushiriki mijadala mitandaoni lazima upunguze, sababu unachoongea pale watu wanachukulia chama ndiyo kimeongea hata kama siyo!! Mwisho wa siku anaambiwa hana adabu na "mwanaCCM" Fatma
Chadema imeshindwa kujiendesha Kama taasisi, Mambo mengi yamesimama kisa Mbowe amekamatwa hata mkutano wa Baraza kuu wameusimamisha hili ni tatizo kubwa swala la tozo walikaa kimya.Hahaha! Sawa Bwana Tindo, tulizoea huko nyuma likitokea jambo lolote kubwa linalogusa wananchi na serikali moja kwa moja CDM walikuwa wanaitisha press na kulizungumzia kwa undani, Juzi NKM kafanya press huku jana yake tu taifa limetangaza kupokea 1.3 trl from IMF na wakatangaza pia matumizi ya hiyo hela na mgawanyo kwa bara na visiwani, katika press yake hiyo fupi sana ilijaa tu Mbowe, Msajili na mikutano ya hadhara!! Hakugusia hilo suala la fedha hata kidogo, CDM ya zamani haikuwa hivyo, wangehoji na wangechambua hayo matumizi, wangekosoa, kushauri na kupongeza panapopongezeka!! Wenzao CCm nao wameitisha press jana, sehemu kubwa ya hiyo press wamezungumzia hilo suala la fedha!! Ni kama mmeshindwa/mmechoka kufanya kile ambacho chama kikuu cha upinzani inabidi kifanye!! Masuala kama bei ya mahindi, wamachinga, bei ya mbolea kuwa juu, vitu kupanda bei hamjawahi kuyaitia press hata siku moja!! Nyie ni Mbowe, Mbowe, Mbowe!! Kama mmeshindwa kazi kaeni pembeni, mkileta vurugu mtavunjwa viuno
Wapo kimya, kwa sasa hatujashuhudia press yeyote imezuiwa, watumie njia hiyo na waite vyombo vya habari makini, wao wanafanya press utafikiri press ya Majimaji ya Songea, vimike vitatu vya youtube channels chovuchovu, mwongeaji anaongea dkk 15, atongelea Mbowe, Sirro, Msajili, Mikutano ya hadhara, anajibu swali moja la DarMpya TV, Press imeisha!! Ukiwaambia wanakuita MATAGA, wengine watakuambia una mimba, wengine watakuita mpuuzi na mpumbavuChadema imeshindwa kujiendesha Kama taasisi, Mambo mengi yamesimama kisa Mbowe amekamatwa hata mkutano wa Baraza kuu wameusimamisha hili ni tatizo kubwa swala la tozo walikaa kimya.
Hawaogopi katiba mpya kwa sabab wao ndio waandish na wataiandika kwa namna wao wanataka na kuna uwezekano mkubwa isitofautiane saaaaana na hii ya sasa na ndio maana wanaipotezeaNccr mageuzi yaliwakuta haya,Cuf waliyapata mazila haya na sasa Chadema ndio inayopata haya mazila. Inaonesha ccm wanaongopa sana chama kikuu cha upinzani ndio maana hutumia nguvu zote ili kufifisha upinzani. Katiba iliopo sasahivi ni ya ccm sisi tunataka katiba mpya tu. Mbona ccm wana ogopa kuna nini kwani hata waogope katiba mpya?
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
! SaHwa Bwana Tindo, tulizoea huko nyuma likitokea jambo lolote kubwa linalogusa wananchi na serikali moja kwa moja CDM walikuwa wanaitisha press na kulizungumzia kwa undani, Juzi NKM kafanya press huku jana yake tu taifa limetangaza kupokea 1.3 trl from IMF na wakatangaza pia matumizi ya hiyo hela na mgawanyo kwa bara na visiwani, katika press yake hiyo fupi sana ilijaa tu Mbowe, Msajili na mikutano ya hadhara!! Hakugusia hilo suala la fedha hata kidogo, CDM ya zamani haikuwa hivyo, wangehoji na wangechambua hayo matumizi, wangekosoa, kushauri na kupongeza panapopongezeka!! Wenzao CCm nao wameitisha press jana, sehemu kubwa ya hiyo press wamezungumzia hilo suala la fedha!! Ni kama mmeshindwa/mmechoka kufanya kile ambacho chama kikuu cha upinzani inabidi kifanye!! Masuala kama bei ya mahindi, wamachinga, bei ya mbolea kuwa juu, vitu kupanda bei hamjawahi kuyaitia press hata siku moja!! Nyie ni Mbowe, Mbowe, Mbowe!! Kama mmeshindwa kazi kaeni pembeni, mkileta vurugu mtavunjwa viuno
Chadema wameamua kupambana kivyao, hawataki kupambania wananchi.Hahaha! Sawa Bwana Tindo, tulizoea huko nyuma likitokea jambo lolote kubwa linalogusa wananchi na serikali moja kwa moja CDM walikuwa wanaitisha press na kulizungumzia kwa undani, Juzi NKM kafanya press huku jana yake tu taifa limetangaza kupokea 1.3 trl from IMF na wakatangaza pia matumizi ya hiyo hela na mgawanyo kwa bara na visiwani, katika press yake hiyo fupi sana ilijaa tu Mbowe, Msajili na mikutano ya hadhara!! Hakugusia hilo suala la fedha hata kidogo, CDM ya zamani haikuwa hivyo, wangehoji na wangechambua hayo matumizi, wangekosoa, kushauri na kupongeza panapopongezeka!! Wenzao CCm nao wameitisha press jana, sehemu kubwa ya hiyo press wamezungumzia hilo suala la fedha!! Ni kama mmeshindwa/mmechoka kufanya kile ambacho chama kikuu cha upinzani inabidi kifanye!! Masuala kama bei ya mahindi, wamachinga, bei ya mbolea kuwa juu, vitu kupanda bei hamjawahi kuyaitia press hata siku moja!! Nyie ni Mbowe, Mbowe, Mbowe!! Kama mmeshindwa kazi kaeni pembeni, mkileta vurugu mtavunjwa viuno
Nina kubaliana na wewe unaposema kwamba maamuzi yanayofanywa na polisi hayaendani na yaliyomo kwenye katiba. Sambamba na hayo nina amini sana katika mikakati inayo anzishwa kutatua changamoto zilizopo. Sidhani kama wana CHADEMA walifanya maamuzi sahihi kwa kuamua kususia mikutano iliyopangwa na msajili wa vyama vya siasa na inawezekana kabisa kwamba walifanya hivyo ili kuhakikisha kwamba vugu vugu lililopo lisipoe. Kuishi vizuri na serikali, bila fujo za hapa na pale ni kitu ambacho hakiwa saidii sana wana CHADEMAUmeandika dude refu lisilo na akili,
Umejiuliza yafuatayo?
1.polisi wanahusika kwenye siasa?
2. Polisi kwanini hawaheshimu katiba badala yake wanaiheshimu ccm tu?
3. Kuwaachia wana chadema waliowabambikia kesi kunahitaji maridhiano gani?
Panasiku polisi na ccm watalipa kwa haya wanayoyafanya kwa wananchi wanaowanyanyasa eti kisha waendelee kubaki madarakani
HAKUNA JAMBO LISILO NA MWISHO
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hawa ni sawa na serikali zote mbili za CCM (yaani SMZ na JMT)Hawa wengine akina Heche, Lema, Msigwa, Sugu, Pambalu, Kigaila, Lissu hamna lolote wajualo
Ndugu,Unaweka Post bila kujua tatizo liko wapi, angalau ungejua hata sheria na kanuni zinazoruhusu vyama vya siasa kufanya siasa nchini, hata hilo haulijui ila unajua kulaumu usilolijua! Fanya utafiti kabla ya kuweka Post ili watu wajadili hoja zako.
Pole ndugu,Wengine wanadhani mambo ya siasa yanafanana na ushabiki wa mpira mitaani, tuwahurumie tu .Watanzania wanaelewa na sio wajinga kushabikia vitu wanavyoona haviana manufaa kwao ndio maana ukiwaambia waandamane huwaoni.