Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
wawili mtaani kwakeWawili, wawilije????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wawili mtaani kwakeWawili, wawilije????
Muombe Mungu uoe mtu sahihiMateso ya kujikunyata usiku pekee ako ni afadhali kuliko mateso ya ndoa
ni mwanaume gani asieridhika na K moja au anataka nibinuke kichwa chini K, juu ndiyo aridhike?
chama hiki cha KATAA NDOA inabidi tukisajili kabsaaaa mi mjumbe toka Moshi KLMKama Uzi unavyo jieleza! leo ndio nimejua nyumba zinaficha mengi . Leo nimeshuhudia ndoa iliyokuwa inatazamwa kama mfano hapa mtaani kwetu inaishia ukingoni.
Baada ya sokombingo kali kati ya mume na mke huku mwanamke huyo akijitoa maneno makali mbele ya watoto wa kuwazaa amesikika akihadithia wanawake wenzake kwa sauti ya juu, etc ni mwanaume gani asieridhika na K moja au anataka nibinuke kichwa chini K, juu ndiyo aridhike?
Vijana ambao mnatarajia kuingia kwenye ndoa fikirieni x 2
Ni vema kuishi peke yako
NakaziaMateso ya kujikunyata usiku pekee ako ni afadhali kuliko mateso ya ndoa
Sio kila mtu ni mpuuzi kama hao wapuuzi wanaoyumbisha tasnia ya ndoa.
Usipoa utaolewa hata jehanamu
vijana pigeni chapa ilaleKuoa ni hatua ngumu kuendea
wanao tangaza ndoa mnani shangazaNakazia
Hatukatai mahusiano ya mapenzi baina ya mwanamke na mwanaume,hatukatai malezi ya watoto chini ya wazazi wote wawili hayo yote yanaweza kufanyika bila ndoa. Tunachokataa ni ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa.Ndoa sio rahisi kwa navyoona watu lakin pia kuikataa sio salama pia.
Nawaza itakuaje usiku ujikunyate mwenyewe had uzeenii huna hata mtu wa karibu wa kuzeeka nae....
Pia malezi ya watoto kiholela bila ndoa sio poa
Nashangaa hii kasi ya vijana kutangaza ndoa, najiuliza huu ujasiri wanatoa wapo, nawaangalia tu maana ni very close friends then naishia kucheka tu.
Ngoja nijitahidi kuongeza maombiMuombe Mungu uoe mtu sahihi
Kumpata ndo kipengele mzeeKabisa mzee unatakiwa uoe mtu sahihi.
Kwa hiyo unaoa ili uheshimike,nani kakudanganya.Anaishi na hawara ambayo haiheshimiki lakini sio wa kuheshimika kama mke
KIfupi nyie mtakao kwenda jehanam, wote mtakuwa wake za uncle Lucifer. Atakua anawapelekea moto huku mkiwa kwenye moto😂😂.Usipoa utaolewa hata jehanamu.