Chama cha kisiasa kimebaki kimoja tu kwa sasa. Tuambiane ukweli bila woga

Chama cha kisiasa kimebaki kimoja tu kwa sasa. Tuambiane ukweli bila woga

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.

Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.

ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.

Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
 
Labda huelewi maana ya neno mfumo?

Mfumo huu huu ndio unafanya mpaka chaguzi zetu ndani ya CCM zinajaa rushwa.
 
Mbowe kile chama ni Cha baba mkwe, alipewa mke na chama, msitarajie hicho chama kitaondoka nje ya familia ya Mbowe, bado wanajilipa Hela walizotumia.

Hawajengi Ofisi kwa kuwa baba mkwe wa Mbowe ndiye kawapangisha Ofisi ya UFIPA, ruzuku kwa asilimia kubwa inalipia jengo la UFIPA.

Ofisi ya chadema UFIPA ilikuwa ikitumika kama gesti, na Kuna watu waliwahi kupiga mechi katika chumba ambacho Sasa ni Ofisi ya Mwenyekiti Mbowe
 
Kwahiyo ukirudi CCM, maji yatatoka? Umeme utaacha kuwa wa mgao?, vijana vyuoni watapata mkopo? ajira kwa vijana zitakuwa bwerere? Watoto hawatarundika darasani? wapiga dili wataacha? rushwa itakuwa bye bye? Uzembe mofsini itakuwa mwisho? Walimu watakuwa wa kutosha kwenye shule zetu?

Nakuuliza ukirudi CCM wahudumu wa afya watakuwa wa kutosha kwenye hospitali zetu? Bei ya vyakula itapungua? Mishahara kwa watumishi itaongezeka?

Ukirudi CCM miondombinu itaboreshwa mpaka kule kwetu Nyametwebili?
 
Mtabwabwaja sana tena sana pamoja na kuiba uchaguzi hamjaridhika, pamoja na kupora rasilimali za nchi bado hamjaridhika, hivi CCM ni viumbe gani sijui tuwaite mashetani au.
 
Hivi kuna chama kinachopiga dili kama CCM? Mleta mada naona huwajua msoga gang, hujui simbioni, Richmond, ununuzi wa rada, IPTL, meremeta n.k

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona usemi viongozi wa CCM ni wajukuu wa wapigania uhuru

Mfano Mwinyi sijui, Kikwete sijui MAKAMBA

Mbona usiongeleee hiloo ,

ETI CHADEMA NA MBOYE INAONYESHA MBOYE ANAWAUMIZA SANA CCM HADI MNAUFYATA

Condition achiia viongozi wangu nchi nzima wanaoshikilia mmewachia, tufanye kikaoo CCM na CHADEMA

Mbona mnafanyaa
 
Mbowe kile chama ni Cha baba mkwe, alipewa mke na chama, msitarajie hicho chama kitaondoka nje ya familia ya Mbowe, bado wanajilipa Hela walizotumia.

Hawajengi Ofisi kwa kuwa baba mkwe wa Mbowe ndiye kawapangisha Ofisi ya UFIPA, ruzuku kwa asilimia kubwa inalipia jengo la UFIPA.

Ofisi ya chadema UFIPA ilikuwa ikitumika kama gesti, na Kuna watu waliwahi kupiga mechi katika chumba ambacho Sasa ni Ofisi ya Mwenyekiti Mbowe
Baba mkwe wa Mbowe ndio kawapangisha Chadema pale Ufipa st?!!

Kweli wewe kinembe original!
 
Sure wapigania uhuru wana watoto wao pia wana damu zao. So ni jambo jema pia.
 
IMG-20221117-WA0006.jpg
 
CCM haina mfumo wa kueleweka na ukitaka kulijua hilo pitia rekodi za wenyeviti waliopita na aliyepo sasa. Mfumo mzima unamilikiwa na mkuu wa nchi na yeye ndiye anayeuongoza atakavyo.
 
Akili zako ni za kuvukia barabara tu na sio zaidi ya hapo

Ungekuwa na akili japo kdg tu ungedadavua kwanini "vyama vingine havisikiki'.

Kisha ungekuja na hoja ya vyama hivyo kufa au vimewekwa gerezani na makatili wa nchi hii!
 
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe...
kwa umri wa chadema, Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti ni sahihi kabisa. Hata Nyerere alianza kuwa Mwenyekiti wa chama cha TANU kisha ccm kuanzia July 7, 1954 hadi mwaka 1987 au 1992 alipomwachia Mwinyi tena kwa shinikizo.

Inawezekana hujui hili kwa sababu pengine ulikuwa bado mtoto au hujazaliwa na historia hata ya chama chako huijui.
 
Back
Top Bottom