CCM hii hii inayoiba mabox ya kura mchana mchana ndugu? ama nyingine.Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hii hii inayoiba mabox ya kura mchana mchana ndugu? ama nyingine.Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka.
CCM INAOGOPA MIKUTANOTufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
Mbowe kile chama ni Cha baba mkwe, alipewa mke na chama, msitarajie hicho chama kitaondoka nje ya familia ya Mbowe, bado wanajilipa Hela walizotumia.
Hawajengi Ofisi kwa kuwa baba mkwe wa Mbowe ndiye kawapangisha Ofisi ya UFIPA, ruzuku kwa asilimia kubwa inalipia jengo la UFIPA.
Ofisi ya chadema UFIPA ilikuwa ikitumika kama gesti, na Kuna watu waliwahi kupiga mechi katika chumba ambacho Sasa ni Ofisi ya Mwenyekiti Mbowe
kwahio dogo atapiga kozi peke ake au kuna batch inakuja chap
Asee wewe jamaa kimwili upo lumumba ila kiroho upo ufipa karibu Sana ufipa stBaba mkwe wa Mbowe ndio kawapangisha Chadema pale Ufipa st?!!
Kweli wewe kinembe original!
Msema kweli mpenzi wa MunguAsee wewe jamaa kimwili upo lumumba ila kiroho upo ufipa karibu Sana ufipa st
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
kwahio dogo atapiga kozi peke ake au kuna batch inakuja chap
endelea kulamba miguu ya mamayenun huko lumumba majiz ya kura.Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
wewe vipi umeolewa lumumba na wamekupa kaz ya kuleta ujinga mtandaoniMbowe kile chama ni Cha baba mkwe, alipewa mke na chama, msitarajie hicho chama kitaondoka nje ya familia ya Mbowe, bado wanajilipa Hela walizotumia.
Hawajengi Ofisi kwa kuwa baba mkwe wa Mbowe ndiye kawapangisha Ofisi ya UFIPA, ruzuku kwa asilimia kubwa inalipia jengo la UFIPA.
Ofisi ya chadema UFIPA ilikuwa ikitumika kama gesti, na Kuna watu waliwahi kupiga mechi katika chumba ambacho Sasa ni Ofisi ya Mwenyekiti Mbowe
ccm ni majingamajinga kama viongoz waoHivi kuna chama kinachopiga dili kama CCM? Mleta mada naona huwajua msoga gang, hujui simbioni, Richmond, ununuzi wa rada, IPTL, meremeta n.k
#MaendeleoHayanaChama
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
Wewe mwenda kuzimu pigia kelele huduma muhim za kijamii kama umeme na maji ambavyo chini ya CCM ni anasa. Shenzy sanaTufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
It's better Rais anabadilika what about MBOWE?.. ZITTO, LIPUMBA?..Duh!
Ni mjinga tu ndio anaamini CCM haitegemei Mtu mmoja
CCM inamtegemea Rais wa JMT na ndiyo sababu akiapishwa tu unaitishwa Mkutano Mkuu anapewa Uenyekiti
CCM hii hii inayoiba mabox ya kura mchana mchana ndugu? ama nyingine.
CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.
Komeo la Chuma vipi umeona report ya CAG wanaoiba fedha za umma ni Chadema? au serikali ya CCM, je sera za chama pendwa ni wizi na dili? Tujitafakari na kuacha kuropokaTufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na Mbowe ni miaka mingapi wapo naye? Wanaamini bila yeye Chama kitakufa. Ndo maana wanakwambia hakuna wa kumtoa pale nafasini. Yaani hawamwamini mwingine yeyote isipokuwa Mbowe.
ACT ni chama cha Mfukoni cha Zitto kabwe. Naye pale ndo mpaka anakufa. Trust me. Maana ndo ameamua aendeshe NGO yake kwa style hiyo ya siasa.
Mimi nimeamua kurudi CCM tujenge nchi kwa mfumo imara. Chama ambacho hakiyumbi..hakitetereki. hakitegemei mtu mmoja.