Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania chamtaka Rostam Aziz kuthibitisha tuhuma alizotoa dhidi ya Majaji na Mahakama ya Kisutu

Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania chamtaka Rostam Aziz kuthibitisha tuhuma alizotoa dhidi ya Majaji na Mahakama ya Kisutu

Kuna yule jaji aliewahi sema kati ya vitu ambavyo hawezi sahau ni HUKUMU aliyoandika KUCHANWA CHANWA waziri mkuu mmoja wa hii (wako wengi)

HUKUMU yake iliitwa TAKATAKA na huyo waziri mkuu
 
Attachment hiyo hapo.
IMG-20230704-WA0099.jpg
 
Wa Tz tuchague kuachana na CCM haraka iweaekavyo!
Hili ni Bomu la atomic litaka;olipuka muda wowote na kuimaliza Nchi.
Tena tufunge na kusali kwani hili dubwada limekuwa na ushetani mtupu!
 
Hili tamko la majaji na mahakimu, linaonyesha uoga wa taasisi hiyo kwa yule wanayemkusudia ..

Vile vile Rostam alitaka kujifunga mwenyewe kwenye goli lake, kuiponda sehemu ya mfumo , mahakama ambao watahitajika kwa hatua mbalimbali zinazoendelea .... Upande unaotaka DP World, wamemshangaa RA kucheza kinyume nao, ndio maana haraka wamemtaka aombe radhi... Na kwa vile waunga mkono DP WORLD na Mahakama ni wamoja... Ikabidi mahakimu na majaji watoe tamko dhaifu na kumwekea RA mazingira mepesi ya kurudi nyumbani kujiunga na timu pendwa ..

Watanzania wanaufahamu mchezo huu unavyochezwa .
 
1. Asipotaja kama wanavyotaka watamfanyaje?
2. Asipoomba radhi baada ya kutomtaja watamfanya nini?
Hao majaji na chama chao kwa hili tamko lao inaonyesha wanamuogopa, kumfanya chochote hawawezi kisheria la sivyo wangeanisha na hatua ambazo wanaweza kumchukulia kwa kunukuu vifungu vya sheria!
Tamko lao ni useless, Rostam ikibidi arudi tena kwenye media aseme hili tamko ni "professional rubbish" na siyo kuomba radhi!
Imekua vice versa na ulichoandika
 
Imekua vice versa na ulichoandika

Jamaa mnafiki sana!!!
Nilijua jamaa ana ujasiri sana kwa namna alivyoongea kumbe nyuki wa mashine yule!
Sasa ngoja tukamtikise nyuma ya pazia huko, alitaka kulia anaenda kulia kweli!!
 
ndio maana anayajua ya ndani sana!
Katoboa alafu wamekuja km mbogo wanajifanya hawajui

Hivi na Mimi nikirudia maelezo ya Rostamu kesho nitaambiwa nithibitishe ?

404: Page Not Found
 
Mwaka huu mihimili inaipata fresh.
Sema safari hii hiyo mihimili itajitafakari upya kwenye utendaji wake, Kama kweli walikua na hiyo michezo michafu, waache Mara moja na watubu kwa mola wao!!
 
Naona Rostam kaona isiwe tabu, kaomba radhi.

Anasema ulimi uliteleza.

Ingawa alichosema awali kuhusu mahakama ni sahihi.
 
Back
Top Bottom