Chama cha Mapinduzi na Mei Mosi 2022

Nyoko!

Nani alikudanganya kuwa, kila mtumishi Wa serikali ni mwanaccm?

Kutekeleza ilani ya Chama kilichopo madarakani haina maana kuwa wewe ni CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
hawatekelezi ilani ya chama,watumishi wanatekeleza yale yaliyomo kwenye sera ya nchi.Ilani waulizwe awaliopewa udhamini na ccm kuomba kura kwa wananchi
 
MKUU Pascal Mayalla ,Anayetoka na taulo chumbani mwa Mama yako huyo ni baba, πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…