Chama cha Rais Macron na Chancellor Scholz vyapata matokeo mabaya uchaguzi wa Bunge la Ulaya

Chama cha Rais Macron na Chancellor Scholz vyapata matokeo mabaya uchaguzi wa Bunge la Ulaya

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Chama cha Marine LePen kimepata kupata karibu 30%, wakati upande wa chama cha Macron kimepata kura kwa karibu 15%.

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kuvunja bunge la kitaifa na kutoa wito wa uchaguzi wa haraka Juni 30 na Julai 7.

Chama cha AfD cha Ujerumani kilipanda hadi nafasi ya pili, na kukipita chama cha Social Democrats cha Scholz kinachoshika nafasi ya tatu.

Vyama vya siasa za mrengo wa kulia vimepata mafanikio makubwa katika uchaguzi wa wabunge wa Umoja wa Ulaya, na kuvishinda chama cha Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz cha, chama cha Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, na chama cha Chancellor wa Austria Karl Nehammer.
 
Vyama ambavyo vilikuwa vikipinga vikwazo kwa Urusi na ambavyo vilikuwa vinapinga misaada ya kijeshi kwa Ukraine vimeoneka kufanya vizuri

Na vunavyopinga sera ya uhamiaji
 
Hizo kura hazihusiani na swala la Russia kwani wananchi wengi sana kwenye mataifa ya Nato hawaipendi kabisa Russia na wanafamu kwamba endapo Ukraine itachukuliwa na Russia basi kwenye orodha watafuata wao.
 
Vyama vilivyoshinda ni sababu havipendi wahamiaji waarabu na weuusi.Sera yao kubwa ni kupambana na uhamiaji.
Hapa Kuna ukweli
Waarabu wanapingwa Sana na hivyo vyama
Ni pigo kwa waarabu weusi 🤣🤣🤣🤣
 
Naona wamechoka na Maandamano ya Wahamiaji kila Jumamosi na wengine kusapoti Hamas
 
Back
Top Bottom