Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Kwani TLP bado kipo??😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ya TLP ni ya kibabe hatari!!Tutakwenda na Lyatonga Popote (TLP)
33.-(1) Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.Kasome katiba ya JMT ibara ya 33, utapata jibu.
Umeshajijibu akitoka madarakani...33.-(1) Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.
(2) Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.
Inahusiana vipi na swali langu kwamba Jee Magufuli akitoka Madarakani bado mtaendelea kumwita Mzalendo Namba moja??
Hana tofauti na Papai huyoHapa sio kunawa mikono tuu bali tuoge kabisa na maji tulivu
View attachment 1443286
Sent using Jamii Forums mobile app
Tlp sio genge la wahuniTLP hawana ruzuku kwa miongo kadhaa sasa, hawapati hata senti. Lakini wana ofisi pale Magomeni tena ya 'kaghorofa' kamoja kinachonishangaza kuna chama kinalipwa 300m per month kama ruzuku, lkn wamepanga ofisi chafu chafu kinondoni. Chama kina wabunge zaidi ya 30, lakini hata ofisi ya maana hakuna! Viongozi wake ni mabilionea inavyosemekana, lakini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wale wengine walimuona EL ni vulnerable!Nimeandika "inatupenda sana sisi ....." ina maana we will die before him.
But he is vulnerable.
There was no eminent threat.Hata wale wengine walimuona EL ni vulnerable!
Coalition hutokana na itikadi, imani na mitazamo ya kisiasa sio hizo shida unazofikilia. Kama TLP na CCM wanaona wamerandana katika yale wanayoamini kwanini wasishirikiane?Ccm ana shida gani hadi waunge chama kimoja na tlp?
Wanachama wao tlp ndiyo wawe ccm wote.
Nani kakwambia wanaunda chama kimoja? Kwani ukawa kilikuwa chama kimoja?Ccm ana shida gani hadi waunge chama kimoja na tlp?
Wanachama wao tlp ndiyo wawe ccm wote.
Video conference or face to face meeting?View attachment 1443144
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona
hizo sheria hazihusu hawa mamlukiVideo conference or face to face meeting?
1995 tungepata rais kichaa. Tuna bahati.View attachment 1443144
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya corona