Chama cha tunaokataa ndoa hatuyumbishwi, tujuane kwa vibe kali na tuwakomeshe

Chama cha tunaokataa ndoa hatuyumbishwi, tujuane kwa vibe kali na tuwakomeshe

Vijana wa ovyo ,natamani kuwapiga makofi.
1659700923578.jpg
 
Waebrania 13:4

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
mkuu?
hivi kwan ni dhambi mimi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke pasipo ndoa?

ipo hivi.
nime fokasi kwenye my purpose and goals in life, simple man , no divorces , no hard drugs, no expensive hobbies nipo na project yangu na little empire yangu , she can join me if she wants lkn pia she can walk away if wants to.
hakuna legal contracts .

to me
it feels perfect.
 
mkuu?
hivi kwan ni dhambi mimi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke pasipo ndoa?

ipo hivi.
nime fokasi kwenye my purpose and goals in life, simple man , no divorces , no hard drugs, no expensive hobbies nipo na project yangu na little empire yangu , she can join me if she wants lkn pia she can walk away if wants to.
hakuna legal contracts .

to me
it feels perfect.
Aliekuumba lazima akupe muongozo wa kuishi
 
Mbona mnakataa ndoa ni hizo mbususu za wanawake mnazitaka? Eti kataa ndoa kwa afya ya akili, huyo.mwanamkr utaekua nae wa kununua ndo atasaidia afya zenu za akili?
mkuu.
kwan sex na love life between 2 people lazima muwashilikishe nawengine!

no!
sio kila mkataa ndoa ananunua !.
 
Huo ni uamuzi wako mkuu.

Tatizo ni pale mnapolazimisha wengine wafate mnayotaka nyie
mkuu?
hivi kwan ni dhambi mimi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke pasipo ndoa?

ipo hivi.
nime fokasi kwenye my purpose and goals in life, simple man , no divorces , no hard drugs, no expensive hobbies nipo na project yangu na little empire yangu , she can join me if she wants lkn pia she can walk away if wants to.
hakuna legal contracts .

to me
it feels perfect.
 
Back
Top Bottom