Chama cha tunaokataa ndoa hatuyumbishwi, tujuane kwa vibe kali na tuwakomeshe

Chama cha tunaokataa ndoa hatuyumbishwi, tujuane kwa vibe kali na tuwakomeshe

Aliekuumba lazima akupe muongozo wa kuishi
hebu ngoja kwenye hiyo life style yangu kunatatizo!
sijawahi tembea na mke wa mtu na wala sitakuja tembea na mke wa mtu!

yanini sasa mke wa mtu wakati project yangu inawavutia fine good lookin single women.
 
Mkuu!
hakuna aliyelazimisha !
kinachotokea nikwamba kuna watu wana care sana hawataki other brothers to repeat the same mistake.
kwan kuna tatizo mkuu kuwajulisha wengine uhalisia wa mambo?
 
Aliekuumba lazima akupe muongozo wa kuishi
sasa hapo kwenye muongozo na imani ndipo tunapotofautiana.

Binafsi ninaishi maisha yangu , nina fanya kile ambacho kina make sense kwangu.
siongozi na dini wala MUNGU wa jamii yoyote ile.

mimi ninaongozwa na upendo.

sasa sijajua kama kuna wezangu huwa wanafanya jambo kwasababu kuna kitabu au jamii ya watu kutoka wapi wamewataka kufanya hivyo! naheshimu hilo.
 
Mbona mnakataa ndoa ni hizo mbususu za wanawake mnazitaka? Eti kataa ndoa kwa afya ya akili, huyo.mwanamkr utaekua nae wa kununua ndo atasaidia afya zenu za akili?
Yeah baby zuu [emoji3590]

Maana ukioa shida inakuja kwenye kuchapiwa mkeee mwanangu inauma sana au kulea watoto ambao sio wako [emoji24][emoji24][emoji24]

Hivyo ni bora nigonge demu mzuri nimpe mbegu zangu anizalie mtoto alafu apite hivi no strings attached
Maana huyu ata akigongwa si nonga maana mtoto nimepata na hisia na pesa niliyo invest kwake ni kwa lengo tu la kunizalia na kusepa kuniachia mtoto wangu hivyo ndo maana tunaungana kusema

kataaa ndoa
ndoa ni unafki
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni gereza

Ila chakata mbususu

Umeelewa sasa mamy
 
Eti anizalie na kusepa. Ndo maana nasema wanaume wengine ni bure! Sasa unataka umtumie mtoto wa watu umzalishe alafu akishazaa unaleta sharubu kutukana single mothers. Na bado mnataka tuwaheshimu wakati kichwani hamna akili
 
Kataa ndoa kabsa ni utapel na ujambazi wa wazwaz.
 
Baada ya single mother

Hii nadhani kampeni mpya nyingine [emoji1787]

.
 
Back
Top Bottom