ni kweli kabisaa,Habari wakuu
Nilikuwa naangalia habari hapa nimeona taarifa ya John Momose Cheyo kuchaguliwa na wajumbe wa chama chake kuwa Mwenyekiti kwa kipindi kingine cha miaka mitano
Wajumbe wametoa maoni kwamba bado mwenyekiti wao anafaa na ana maono ya kukisaidia chama, ingawa kidogo kwa namna nilivyomuona afya naona imetetereka
Tumtakie heri mheshimiwa Cheyo
Source habari ITV
Ccm mapoyoyo yote kiboko Yao mbowe na hatoki Kwa matakwa ya ccm na siku akitoka tunaweka chuma lissu mpaka mtie adabu.Chadema machawa washaanza kuimba nyimbo za mwamba tuvushe
Apumzike kwani uenyekiti ni kubeba mzigo kichwani, sisi wanachama bado tunamkubali sana tuHicho chama bado kipo?
Mzee Cheyo jua limeshazama sana, usiku umesonga, apumzike tu kulinda afya yake.
Apumzike kwani uenyekiti ni kubeba mzigo kichwani, sisi wanachama bado tunamkubali sana tuHicho chama bado kipo?
Mzee Cheyo jua limeshazama sana, usiku umesonga, apumzike tu kulinda afya yake.
Nimeshuhudia kijana flan mjumbe wa mkutano mkuu akisema wamemchagua maana ana nguvu za kutosha kukivusha chama chao na uchaguzi mkuu 2025!!Yaani Cheyo hawezi hata kutembea jamani lakini ndiyo Mwenyekiti
Wajumbe walikuwepo mkutanoni wakutosha kabisa... wamemwaga sifa kwa mzee mapesa kedekede!!Hiki chama kipo!!!
Ni kama mwenyekiti hujichagua mwenyewe
Sijui wajumbe wake ni nani
Hutu tuvyama huwa muhimu kwa CCM kwenye chaguzi maana ndo hutoa akidi katika zile kura za mapingamizi dhidi ya CHADEMA!!Unaweza kuta hata ruzuku kiduchu sana..mzee cheyo mwenyewe ukute ndio anakiendesha kwa fedha zake..kwahiyo ilimradi ni taasis iliyosajiliwa basi wanaishi kwa matumaini 2025 wanweza okota hata kiti kimoja..ukiwa huna chama na unahisi unakubarika na wanachi bila kujali chama..basi jichomeke hata kwa cheyo wananchi watakupitisha hilo jimbo utakaloona linafaa..tena unapita safi kabisa..na ukute ccm wakati huo wametegeshea wanaona bora bunge liwe na wapinzani ila kutoka vyama fulani sio fulani kwahiyo unajikuta uyoooo mjengoni
Na nimemuona ana nguvu za kutosha kama Simba kijana 😀Apumzike kwani uenyekiti ni kubeba mzigo kichwani, sisi wanachama bado tunamkubali sana tu
Mkuu, ndio hapo ninapo ona wa TZ wengi hawaelewi mambo na hasa yanayo siasa.Na wala hatusikii kelele za kutaka mtu mwingine awe mwenyekiti badala yake. Ingekuwa chadema hapo!!
Kunya anye Kuku, akinya BATA kaharisha......Habari wakuu
Nilikuwa naangalia habari hapa nimeona taarifa ya John Momose Cheyo kuchaguliwa na wajumbe wa chama chake kuwa Mwenyekiti kwa kipindi kingine cha miaka mitano
Wajumbe wametoa maoni kwamba bado mwenyekiti wao anafaa na ana maono ya kukisaidia chama, ingawa kidogo kwa namna nilivyomuona afya naona imetetereka
Tumtakie heri mheshimiwa Cheyo
Source habari ITV
Mti wenye matunda MpwaNa wala hatusikii kelele za kutaka mtu mwingine awe mwenyekiti badala yake. Ingekuwa chadema hapo!!
Na Lucas Mwashambwa 🤣Wajumbe walikuwepo mkutanoni wakutosha kabisa... wamemwaga sifa kwa mzee mapesa kedekede!!
ofisi zake ziko wapi? CCM B , takataka tupu maviHabari wakuu
Nilikuwa naangalia habari hapa nimeona taarifa ya John Momose Cheyo kuchaguliwa na wajumbe wa chama chake kuwa Mwenyekiti kwa kipindi kingine cha miaka mitano
Wajumbe wametoa maoni kwamba bado mwenyekiti wao anafaa na ana maono ya kukisaidia chama, ingawa kidogo kwa namna nilivyomuona afya naona imetetereka
Tumtakie heri mheshimiwa Cheyo
Source habari ITV
Duh...!.Habari wakuu
Nilikuwa naangalia habari hapa nimeona taarifa ya John Momose Cheyo kuchaguliwa na wajumbe wa chama chake kuwa Mwenyekiti kwa kipindi kingine cha miaka mitano
Wajumbe wametoa maoni kwamba bado mwenyekiti wao anafaa na ana maono ya kukisaidia chama, ingawa kidogo kwa namna nilivyomuona afya naona imetetereka
Tumtakie heri mheshimiwa Cheyo
Source habari ITV
Sahihi kabisaVijana wa Nyerere hao! Walipewa "mpunga" wakaanzishe vyama. He has been paid handsomely ever since, living his paycheck.