Chama cha Upinzani ambacho hakinaga mmiliki ni NCCR Mageuzi, kinafahamika Nchi mzima Tundu Lissu arejee kukiimarisha

Ushauri mzuri, lakini wacha kwanza wapambanishwe na hasimu wake tuone.

Haujawahi kugombanisha majogoo ama mafahari ya ng'ombe ukaona raha yake?

Ngoja kwanza uchaguzi upite ndiyo tumshauri vinginevyo.

Akihama mapema itaonekana amewaogopa na watatamba sana mafisadi hawa.
 
Kuna jogoo house pale Magomeni. Nataka nijiunge TLP kisha nigombee uenyekiti nijimilikishe Jogoo house
 
Kwenye fair ground Freeman hamuwezi Lisu kabisa πŸ˜‚

Ila kwenye SIHASA atamgaragaza πŸ˜„πŸ˜„
 
Ni Taifa ndio litazidiwa ila watu wake sisi tupo uchumi wa kati
 
Mfano Chadema ni Wazo la Mzee Tuntemeke Sanga aliyewaalika rafiki zake akina Mwakitwange, Mtei, Ngaiza na Makani pale Motel Agip na kuwashirikisha maono yake kisha wakaiba Katiba ya awali ya Nccr Mageuzi na kuifanya yao πŸ˜‚
Wilfrem Mwakitwange alikuwa ni mwanzilishi wa chama cha PONA, hakuhusika na kuanzisha CHADEMA,
 
Mwamba umebadilika tena? Kweli kabla ya tarehe 21 Lissu atabaki peke yake!
 
Kwenye fair ground Freeman hamuwezi Lisu kabisa πŸ˜‚

Ila kwenye SIHASA atamgaragaza πŸ˜„πŸ˜„
Umesikia juzi Dr Slaa alivyosimulia namna mikakati ya kupenyesha rupia kwenye uchaguzi wa Cdm inavyofanywa na Samia na Mbowe?

Kama mjumbe hajajenga mwaka huu, atakufa masikini.
 
Kumbe akina mmiliki ngoja nikaokote TU.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Umesikia juzi Dr Slaa alivyosimulia namna mikakati ya kupenyesha rupia kwenye uchaguzi wa Cdm inavyofanywa na Samia na Mbowe?

Kama mjumbe hajajenga mwaka huu, atakufa masikini.
CCM haiwezi kuhangaika na Chadema huyo Mbowe ni mwajiriwa wa RA 🐼
 
Kwani Freeman alikuwa anajulikana?
Sana tu hata kabla hajaingia moja kwa moja kwenye siasa. Labda wewe ulikuwa haujaja mjini maana alikuwa mafanyabiasha wa siku nyingi tangu enzi ya baba'ke na ndiye mtu wa kwanza kuingiza gari ya BMW hapa bongo, achilia mbali klabu yake ya Bilicanas ambayo kila mjanja wa mjini na mgeni wa kimataifa lazima aende pale kustarehe
 
Umesikia juzi Dr Slaa alivyosimulia namna mikakati ya kupenyesha rupia kwenye uchaguzi wa Cdm inavyofanywa na Samia na Mbowe?

Kama mjumbe hajajenga mwaka huu, atakufa masikini.
Mbowe ni tajiri kitambo kama ulikuwa hujui, hakuupata utajiri Chadema zaidi ya kukisaidia chama, bado ana mijengo ya maana Mikocheni, Machame, Dodoma, London hebu cheki huu mjeno wa Machame ambako wanafiki akina Msigwa na Heche, pamoja na Lema walimtembelea Novemba mwaka 2023, roho zikawauma hadi sasa wakamshawishi Lissu agombee uenyekiti. Wivu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…