Chama cha Upinzani ambacho hakinaga mmiliki ni NCCR Mageuzi, kinafahamika Nchi mzima Tundu Lissu arejee kukiimarisha

Ni afadhali kuliko Chama Cha Mchagga mmoja πŸ˜‚πŸ˜‚
Heche ni mchagga wa Marangu.
Weche ni mchagga wa Kibosho.
Sugu ni mchagga wa Rombo.
Lubaga Jackson ni mchagga wa Kirua
Steven Wel well ni mchagga wa Kilema
Catherine Ruge ni mchagga wa Kishumundu

Acha kukimbilia siasa nyepesi.
 
Kwani lazima ashinde?.Na akishindwa ni lazima ahame chama?.Nyie wapambe ndio mnaofanyaga wajinga waone kama siasa ni ugomvi.
 
Hataweza tena kutimiza ndoto yake akiwa Chadema

Mbowe amekuwa muwazi Sana ashukuriwe Kwa hilo

Chadema ni biashara Siyo Siasa 🐼
Kwani siasa ni nini?.Siasa ni kazi na maisha kama kazi zingine.Tukielewa hilo wala huwezi kubabaika vinginevyyo labdaa utuambie ni siasa gani ambayo watu hawanufaiki.
 
Heche ni mchagga wa Marangu.
Weche ni mchagga wa Kibosho.
Sugu ni mchagga wa Rombo.
Lubaga Jackson ni mchagga wa Kirua
Steven Wel well ni mchagga wa Kilema
Catherine Ruge ni mchagga wa Kishumundu

Acha kukimbilia siasa nyepesi.
Kwani Zitto Kabwe na Nondo ni Wapemba?

Ado Shaibu ni mpemba

Ulijibiwa sawa sawa na ulichoandika πŸ˜‚
 
Kwani siasa ni nini?.Siasa ni kazi na maisha kama kazi zingine.Tukielewa hilo wala huwezi kubabaika vinginevyyo labdaa utuambie ni siasa gani ambayo watu hawanufaiki.
Siasa ni mtambuka

Chadema ni Wajasiliasiasa 🐼
 
Heche ni mchagga wa Marangu.
Weche ni mchagga wa Kibosho.
Sugu ni mchagga wa Rombo.
Lubaga Jackson ni mchagga wa Kirua
Steven Wel well ni mchagga wa Kilema
Catherine Ruge ni mchagga wa Kishumundu

Acha kukimbilia siasa nyepesi.
Wachaga chukueni time bana,ujasiriamali mpaka ujasiriasiasa
 
Huko si alifukuzwa? Nacho ni chama Cha wachaga
 

Kwa kweli dunia inaenda kasi.
Leo Mbowe ndio mtu wa kutumia mbinu za CCM za kujijenga kisiasa huku akilalamika eti Tundu Lisu anatumiwa 🀣🀣🀣🀣🀣
Mbowe ndio mtu wa kuungana na CCM kwa wazi na kumwita Tundu Lisu ni mropokaji 🀣🀣🀣Kisa Nyota ya Lisu inang'aa kwa sasa kuliko wanasiasa wote Tanzania.

Mbowe anasema kuwa kiongozi wa Chama ni mzigo lakini hataki kuutua . Huu si utapeli !!!
 
Unawaita wanafiki kwasababu wanamuunga mkono Lissu kugombea uenyekiti ama vipi?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kama mzigo unamuelemeaa autue tu
 
Kwa heshima yake mbowe ajitoe tu kwenye uchaguzi kulinda legacy yake
 
Mboye hana mpango na demokrasia ndani ya Chama..Tarehe 21 January inasubiriwa na wengi kwa hamu sana,hiyo Tarehe itakuwa mustakabali wa Chadema.
Kama think Tank ya Chadema ni mtu kama Yerico Nyerere basi Chama kina safari ndefu sana.
Mboye must go..
Ninamuunga mkono Lissu kugombea nafasi ya uenyekiti,namuunga mkono Author wa hii thread kwamba endapo Lissu akifanyiwa mambo kinyume na taratimu za uschaguzi wa Chama ni Bora aende NCCR..ana watu wengi nyuma yake..
 
Mboga mboga kina mmiliki kwani,anataka akizingua sana M.kiti kwa msaada wa mboga mboga atatiatimu kuiimarisha mboga mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…