Chama cha Walimu Tanzania (CWT) waweke paper ya mchujo kama ya Law School ili mtu awe certified na kupata usajili

Pia nikukumbushe mwalimu sio G.P.A Mwalimu ni content....

Mwalimu wa serikalini Hana interview......

MWALIMU SIO G.P.A NI CONTENT....
 
Very true na ukijitutumua wanaku neutralize as individual....
Mkijitutumua wengi hawana namna. Kwani kuwaacha inasaidia kitu gani. Heri kuwa neutralized mkipambana kuliko kuwa neutralized kibudu.
 
CCM wanataka wajinga waendelee kuwepo iliwaendelee kuiba wao na watoto wao
 
WCT hao kazi yao kukusanya makato ya walimu na kuenda bar kutandikia barimi tu alafu waanzishe mtiani wa kupunguza watu watakaowapa mapato kweli itawezekana ?😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…