Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
Chama Cha Wanasheria Tanganyika kimetangaza kwenda mahakamani kesho ili kutafuta uwezekano wa kutafasiri sheria juu ya nini kinatakiwa kujadiliwa na bunge maalumu katika mchakato wa katiba mpya.
Jopo hilo litaongozwa na wanasheria wanne na mahakama zote kuu za Bara na Visiwani zitausika baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu.
Jopo hilo litaongozwa na wanasheria wanne na mahakama zote kuu za Bara na Visiwani zitausika baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu.