Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
- Thread starter
- #41
Hapo jaji mccm ndo itakuwa kazi yake kufafanua vifungu kiccm. Chezea maccm wewe?
- Hapa ndo tutaona nani hajui analofanya kati ya Warioba, UKAWA na CCM aibu kwa nani endapo mahakama itatenda haki.