Chama chenye siasa safi Africa ni ccm

Chama chenye siasa safi Africa ni ccm

tufahamishane

Member
Joined
Jun 22, 2024
Posts
28
Reaction score
30
Habari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
 
Poa mwanetu 👍
Screenshot_20240630-170950.png
 
Habari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
Hicho chama ndio cha hovyo duniani,kinajali matumbo yao hakijawahi kumjali mwananchi...ndio chama kinapendwa na mafisadi wa ccm,wauza heroin,,majambazi,wadangaji,makaka poa yani hicho chama shetani anakiogopa
 
Habari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
Na ndiyo chama chenye matapeli zaidi Africa
 
Back
Top Bottom