tufahamishane
Member
- Jun 22, 2024
- 28
- 30
Hicho chama ndio cha hovyo duniani,kinajali matumbo yao hakijawahi kumjali mwananchi...ndio chama kinapendwa na mafisadi wa ccm,wauza heroin,,majambazi,wadangaji,makaka poa yani hicho chama shetani anakiogopaHabari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
Na ndiyo chama chenye matapeli zaidi AfricaHabari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara
Umahili wa viongozi wake ndio sababu ya Ccm kudumu muda mrefu bila kuyumba. Ccm Imara ndio chanzo cha Amani Yetu
Mpka shetani kashtukaView attachment 3029985
Kama ndivyo, kwanini mnaogopa uchaguzi huru na haki kuliko moto?Chama chenye siasa safi Africa ni ccm
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!πππππππhata kama uchawa kuweni na akiba kidogo ya staha ya utu wenu.