Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali tofauti na mitama na Judo Chama kafanya nn hii misimu miwili [emoji16]Nazani ndio nini????kiswahili tu hujui
Utopolo hamna akili[emoji1787]
Kabisa mkuu, Rage hakukosea kuwabatiza jina hilo.Usijali hawa ni MBUMBUMBU Sana halafu wala hawana presha ndo maana loser wanaita looser [emoji28]
Super League utasikia super cup [emoji38]
Leo gallants imekua garrants [emoji2957]
Rage aliona mbali sana
Ni uzuzu kuwacheka Simba kutoka kapa misimu miwili wakati utopolo wametoka kapa misimu minne mfululizo,Angetutesa kama angewapa makombe.. misimu miwili sasa mnatoka kapa.
Tangu atoke uarabuni hajawahi kuonja Harufu ya medali yoyote ile..
Tofauti na Judo na mitama sijui amefanya nn kikubwa msimu huu
Kwahiyo hayo makombe manne mliyochukua yametosha??Ni uzuzu kuwacheka Simba kutoka kapa misimu miwili wakati utopolo wametoka kapa misimu minne mfululizo,
Haya pia ni maajabu ya ulimwengu
Mimi nadhani sio uwezo ni kuchanganyikiwa.Uliponikosha mtoa mada ni pale ulipoandika RUVU GARRANTS, hapo ndipo nilipojua uwezo wa mashabiki wengi wa Simba.
Hamna kitu kichwani mule akiwa na yule chizi mwenzake mwenye miwani kama kobe ndio wanafundishana ujingaHuyo Jemedari huwa nafananisha akili zake na Musiba...
Mwambie Chama hadhi yake siyo ya kufanya vitendo vya kihuni.@jemedarisaid I think now you getting on my nerve small issues you want to make stories like you even know football when all you do is talk day in day out you just talk about football guy don’t act so dumb. Ask the players involved then you will understand what you want to poke your nose in . If I meant to injure him how come he continued and we all finished the match ? Talk to improve not to gain followers on social media .,,,,,,,,,,
Binafsi nimeona poa sana maana hawa wanaojiita wachambuzi nao wamezidi aiseeh, katika game ya jana wameona tukio moja tu......then huwa wanaexpress kitu si kwa kujenga bali kupata followers..........
Sababu akifanya mchezaji wa timu ndogo hukuti wanaizungumzia sana kama hivi,
Mechi ya Azam huyu Chama alipigwa ngumi na Akaminko,
Bajana alimchezea rafu mbaya sana Kanoute
Ila ile MITAMA ya kirusi putin ndiyo ilimake headline[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Game ya jana Sakho alipigwa kiwiko na mchezaji wa Ruvu Garrants
Sakho tuna alichezewa rafu mbaya na mchezaji wa ruvu na ikapelekea mkude kukasirika na yeye kwenda kucheza rafu iliyopelekea kupewa kadi,
Ukifanya marejeo ya video huyu aliyekanyagwa na chama alifanya kama vile kwa saido ntibanzokiza tuna mpaka kiatu kikavuka,na hiyo clip waliyoikata inaonesha nyuma huyu jamaa alikuwa anamkanyaga chama,ila wameamua kujimegea kipande chao na kukiongelea mitandaoni....
INAKERA SANA.
NB:SITETEI VITENDO VIOVU KTK SOKA,ILA TUSIWEKE MASLAHI MBELE BALI TUZINGATIE USAWA ...TUSIONEE
View attachment 2620238
Musiba huyu huyu kiboko ya membe,au??Huyo Jemedari huwa nafananisha akili zake na Musiba...